Faida za Parachichi katika mwili wa Binadamu

Tunda/mbegu yake ukisaga
  1. Nzuri sana kwa kufanya scrubing ya uso
  2. Hutumika kama kiungo cha chai
  3. Hiyo hiyo mbegu ikisagwa na kuchanganya na ubuyu mweupe uliolowekwa....ikachunjwa na kutiwa sukari ni juice nzuri sana
Ina vitamin C ya kutosha
 
Tunda/mbegu yake ukisaga
  1. Nzuri sana kwa kufanya scrubing ya uso
  2. Hutumika kama kiungo cha chai
  3. Hiyo hiyo mbegu ikisagwa na kuchanganya na ubuyu mweupe uliolowekwa....ikachunjwa na kutiwa sukari ni juice nzuri sana
Ina vitamin C ya kutosha

Asante Chocs kwa elimu hii nilikua sijui
 
Last edited by a moderator:
Itakua wewe unaijua faida muhimu zaidi ya yote


hahahaaa!! sio mimi tu, muulize MziziMkavu ama Dr.Mo, parachichi ni zaidi ya ule ukijani,

likioshwa vizuri, likamenywa kwa nidhamu,

likatengwa kwenye chombo safi..

likaliwa pole poleeee bila stress.. niamini, hakutakuwa tena na upungufu wa nguvu za kugegdana!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…