utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,667
hahahaaa!! sio mimi tu, muulize MziziMkavu ama Dr.Mo, parachichi ni zaidi ya ule ukijani,
likioshwa vizuri, likamenywa kwa nidhamu,
likatengwa kwenye chombo safi..
likaliwa pole poleeee bila stress.. niamini, hakutakuwa tena na upungufu wa nguvu za kugegdana!
Basi tumuulize Munkari analitumiaje?
Last edited by a moderator: