hahahaaa!! sio mimi tu, muulize MziziMkavu ama Dr.Mo, parachichi ni zaidi ya ule ukijani,
likioshwa vizuri, likamenywa kwa nidhamu,
likatengwa kwenye chombo safi..
likaliwa pole poleeee bila stress.. niamini, hakutakuwa tena na upungufu wa nguvu za kugegdana!
hahahaaa!! sio mimi tu, muulize MziziMkavu ama Dr.Mo, parachichi ni zaidi ya ule ukijani,
likioshwa vizuri, likamenywa kwa nidhamu,
likatengwa kwenye chombo safi..
likaliwa pole poleeee bila stress.. niamini, hakutakuwa tena na upungufu wa nguvu za kugegdana!
Halafu mimi BD yangu lini vile? Au ishapita?
Watoto tutazijulia wapi bhana...
Mi mtoto sijui lugha iliyotumika hapa...
Ni kweli mkuu excel...ni kati ya matunda yenye vitamin na protein kwa pamoja...matunda mengi unakuta yana vitamin nyingi lakini protein ndogo
haaaaahahaaa!! mkuu ulale salama! shikilia kamata kabisa hapo hapo usiachie... bhaaasi!!
Sawa hamna neno..
Kama hamna neno poa nipe mastori.
wacha wee!!
umemuona wapi?