Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
FAIDA ZA STRAWBERRY MWILINI NI PAMOJA NA;
1. Husaidia katika kuimarisha uwezo wa ubongo katika kuweka na kutunza kumbukumbu,hivo kumfanya mtu kuwa na kumbukumbu zaidi
2. Matunda haya yana kiwango kikubwa cha Madini aina ya Zinc, hivo kusaidia katika maswala mazima ya uzazi kwa mwanaume
3. Matunda haya pia husaidia katika kuimarisha afya ya Ngozi
4. Strawberry husaidia sana hata kwa wagonjwa wa Presha aina zote mbili (presha ya kupanda na kushuka)
5. Strawberry husaidia pia katika kuimarisha afya ya mifupa
6. Pia matunda ya Strawberry yana madini mazuri ambayo husaidia kwa kiwango kikibwa katika ukuaji wa mtoto tumboni,hivo yanafaa sana kwa mama Mjamzito.
7. Strawberry husaidia pia katika kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa
8. Matunda haya ya strawberry husaidia pia katika kuweka vizuri mzunguko mzima wa Damu mwilini
9. Strawberry pia ni kinga dhidi ya kutokea kwa kansa mbali mbali katika mwili wa binadamu
10. Matumizi ya Strawberry ni njia nzuri ya kusaidia katika kupunguza uzito kwa watu wenye uzito kupita kiasi
11. Kwa mtu ambaye kaumia au ana kidonda,matumizi ya strawberry husaidia vidonda kupona kwa haraka.
1. Husaidia katika kuimarisha uwezo wa ubongo katika kuweka na kutunza kumbukumbu,hivo kumfanya mtu kuwa na kumbukumbu zaidi
2. Matunda haya yana kiwango kikubwa cha Madini aina ya Zinc, hivo kusaidia katika maswala mazima ya uzazi kwa mwanaume
3. Matunda haya pia husaidia katika kuimarisha afya ya Ngozi
4. Strawberry husaidia sana hata kwa wagonjwa wa Presha aina zote mbili (presha ya kupanda na kushuka)
5. Strawberry husaidia pia katika kuimarisha afya ya mifupa
6. Pia matunda ya Strawberry yana madini mazuri ambayo husaidia kwa kiwango kikibwa katika ukuaji wa mtoto tumboni,hivo yanafaa sana kwa mama Mjamzito.
7. Strawberry husaidia pia katika kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya magonjwa
8. Matunda haya ya strawberry husaidia pia katika kuweka vizuri mzunguko mzima wa Damu mwilini
9. Strawberry pia ni kinga dhidi ya kutokea kwa kansa mbali mbali katika mwili wa binadamu
10. Matumizi ya Strawberry ni njia nzuri ya kusaidia katika kupunguza uzito kwa watu wenye uzito kupita kiasi
11. Kwa mtu ambaye kaumia au ana kidonda,matumizi ya strawberry husaidia vidonda kupona kwa haraka.