Faida za ulaji wa pilipili kwa mwili wa binadamu

Nazungumzia wale wapenda kachumbari na hata tu wale wanaopenda kukatia au kulumangia pilipili nzima nzima kwenye chakula.Ni hatari sana!

Why?

Mbegu ya pilipili huwa haimeng'enywi kirahisi.Ukila inaenda kujishikiza kwenye utumbo na kuukwangua na kukusababishia vidonda vya tumbo. Chache sana huambatana na haja kubwa!

Maeneo ya vijijini huko kando ya mito au shambani au porini unakuta mpilipili umeota.Umeshawahi kujiuliza kwa nini?! Kuna mtu alijisaidia mbegu zikatoka nzima nzima zikajiotea huko ardhini.

Epuka kula pilipili na mbegu zake.
 
Mimi ni mlaji mzuri wa pilipili,ulichoongea ni ukweli mtupu.na uwezo wa kumaliza pilipili mbuzi hata tatu kwa mlo, hasa nguna iwe na mboga mboga za kutosha.
 
Duniani kila siku masharti yanaongezeka.
Ndege wanakula sana pilipili na mbegu zake....mipilipili porini kazi yao.

hata hivyo kuna kachumbali fulani hivi inawekwa kwenye can/kopo (canned kachumbali), mara ya kwanza niliifakamia kama sina akili muzuri, kesho yake nilipoenda ofisi ndogo ilikuwa balaa...! pilipili iliamia huko. Sijarudia tena...sasa hivi ni mwendo wa pilipili mbuzi mbichi tu.
 
Kuanzia leo ntakuwa natoa mbegu nje.....

Hehehehehee hii sentensi hadi nimejistukia. Ila lugha tamuuuu I mean kiswahili......
Sasa itakuwa pilipili hoho hiyo
 
Kuanzia leo ntakuwa natoa mbegu nje.....

Hehehehehee hii sentensi hadi nimejistukia. Ila lugha tamuuuu I mean kiswahili......
Mumeo hawezi kubali utoe mbegu nje ww....
too late ushakula mapilipili mengi na mbegu ndani
subiri matokeo.....
 
Sijasema unatafuta mume?
nimeshangaa kutokuwa nae!!
hiyo charming lady nimetumia kama sifa kuku identity
na sio kwamba nimekuchanganya na charming lady wa JF
hop u get my point

Usijali nilikuwa nafanya uchokozi wa kujibizana tuu, huoni nilikuwa na delete maneno mengine na kujibu kimoja?

Nilikupata sana ulichomaanisha sema nikatumia nafasi hiyohiyo pia wengine wasije tafsiri nilivokuuliza.
Kiukweli sina mume japo niko mchangamfu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…