ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ok nimekupata.Usijali nilikuwa nafanya uchokozi wa kujibizana tuu, huoni nilikuwa na delete maneno mengine na kujibu kimoja?
Nilikupata sana ulichomaanisha sema nikatumia nafasi hiyohiyo pia wengine wasije tafsiri nilivokuuliza.
Kiukweli sina mume japo niko mchangamfu sana.