Faida za UMASKINI

Sawa
 
Wewe na mbususu mpk mzikwe pamoja 😹
 
Kweli kuna jamaa ni Jirani ya gu Mwislam hana kitu hata kula kwake ni shida sana.

Ila anaoa kila baada ya miaka miwili na anatoa na mahali. Baada ya miaka miwili anaacha.

Anaishi kwenye nyumba ya mama yake, baba yake alishafariki, dada zake wote watatu wameachika wamerudi nyumbani kwao na watoto.nyumba si zaidi ya vyumba vutatu.

Hana wasi wasi na anaonekana ana furaha.
😅😅
 
Umaskini ni utumwa uliochangamka ,

Ni mpuuzi tu ndo ataona faida ya umaskini.
Mpaka hapo tayari ushakuwa na hofu ya maisha. Sisi masikini Fikda zetu ziko huru haziwazi mavitu ya hovyo hovyo kama yako.
 
Maskini huwa tunasubiria miaka ya uchaguzi ndiyo tupate Nguo Nzuri za vyama vya siasa. Nguo hizo ugaiwa bure huku tukiambiwa Ni Takrima ya chama. Kisha tunaambiwa tulipe fadhira kwenye sanduku la kura.☑️☑️


Maskini tunakula tunashiba chakula chochote Bila kujali kimepikwaje au mazingira ya upikaji.

Maskini tunakunywa Maji yoyote, tunashare Maji na mifugo yetu katika dimbwi moja. 🤪🤪🤪
Habari za kumtua mama ndoo kichwani hizo stori tunazisikiaga redioni Tu.🚱🚱🚱


Tukishashiba Ugali wetu Wa udaga, tunakutana marafiki kuchangamsha akili kwenye kijiwe chetu cha mama Muuza. Hiyo inaitwa Jisevie utakavyo. 🍺🍺🍺


NB: ila pamoja na yote hayo, tusiache kutafuta Pesa.
 
Hasara moja tu ya kuwa tajiri ni kugongewa mke tena anagongwa bure na yeye ndo anahonga. Hiyo tu ndo hasara moja ya kuwa tajiri.
 
Hahaha acha vituko wewe labia majora
 
Kwenye kugegeda kavu sio kweli maskini wengi tunatumia ndom
 
Usijifariji, tangu umemsikia Bakhresa ushawahi kumuona kapitia hayo uloyaandika kama faida?
Umasikini ni vazi lisilompendeza yetote yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…