Faida za UMASKINI

Faida za UMASKINI

Tajiri kuingia mbinguni ni ngumu kuliko kwa ngamia kepenya kwenye tundu la sindano.(Hii ndio hasara ya utajiri).
Siamini kama kuwa masikini ni laana na kuwa tajiri ni baraka ,kwasababu hata shetani kuzimu majini waganga wa kienyeji...wanaweza kumpa mwanadamu utajiri mafanikio.Mfano mtu aliyepata utajiri wake kwa kufanya magendo shughuli haramu au kutoka kwa nguvu za giza siwezi kuita amebarikiwa.
Nikiangalia baadhi ya mitume na manabii wa mwanzo wengine hawakuwa matajiri sio kama hawa wa sasa wa mafuta ya upako.

Kwenye biblia kuna mfano wa MASKINI na tajiri lazaro.(alioutoa Yesu na Yesu huwa anatoa mifano ya kweli hasemi uongo)
MASKINI baada ya kufa alikwenda peponi(hii ina maaanisha maskini sio mlaaniwa..mana mbingu ni takatifu na waingiao mbinguni ni watakatifu.)
MLAANIWA ni shetani na wafiasi wake na mlaaniwa shetani na walaaniwa wengine ndio huenda motoni...sasa katika mfano huu wa tajiri lazaro na masikini...aliyeingia motoni ninTAJIRI LAZARO.

Mfano mwingine alioutoa Yesu alipokuwa akipita na wanafunzi wake walimuona masikini(wale wanafunzi wakamdharau yule masikini na kumuhukumu kwa kumuona UMASIKINI WAKE ni kama adhabu au laana ..waliwaza hivi huyu masikini alitenda kosa gani dhambi gani kubwa kiasi akapata laana au adhabu kubwa hivi ya kuwa masikini na omba omba kiasi hiki....
Yesu aliwajibu...wasifikiri yuke maskini ni WORST SINNER THAN ANY ONE ELSE..Do you think that these Galileans were worse sinners than all other Galileans because they have suffered in this way?luke 13.
sio kwamba umasikini ni adhabu au laana ,au yeye masikiini ni mdhambi kuliko wasio masikini,au wao wasio masikini ni wasafi kuliko masikini).

HITIMISHO
Napinga kuwa umasikini ni laana.
Napinga kuwa utajiri ni baraka aisee kuna matajiri wa kutumia ndago,kimbola wameharibu watoto wao au ndugu zao wamekuwa matahira wengine wametoa kafara.
.UTAJIRI wa kizazi chetu una siri nyingi sana japo sio matajiri wote.Wapo wanaokesha kwa waganga wapo waliouza nafsi zao roho zao kwa MIZIMU YA KWAO na kwa shetani au majini ,wapo waliopata kwa kufanya mambo haramu biashara haramu.UTAJIRI UNA SIRI KUBWA..wapo waliopata kwa WIZI ,na rushwa,na kumwaga damu za watu..dirty money.pesa chafu za damu.,ambao ni utajiri wa laana sio baraka.
Wakati mwingine watu wengine wanakataa kupokea rushwa kulamba asali sio kwamba hawataki utajiri ila wao wanaona ni heri kuchagua jina jema kuliko mali,heri kuchagua haki na utu kuliko heri kula chakula cha mboga panye upendo amani na utu kuliko ngombe aliyenona pamoja chakula najisi cha wafalme hawako tayari kujinajisi kwa utajiri haramu.
Unaweza ukawa TAJIRI WA ROHO yani una matunda ya roho mtakatifu furaha amani,upendo,utu wema,upole kiasi,fadhili,imani nk.
Hatukuja na kitu duniani na tena hatutaondoka na kitu duniani.
 

Attachments

  • Screenshot_20241224-130411.jpg
    Screenshot_20241224-130411.jpg
    239 KB · Views: 2
vijana tusitafute utajiri wa haraka haraka kwa kutumia shortcut njia haramu kwa kufanya illegal issues (wizi,rushwa n.k) walio katika utumishi wa umma na wasio katika utumishi wa umma.
USITAMANI utajiri wa mtu hujui kapataje utajiri wake.
 

Attachments

  • Screenshot_20240711-173537.jpg
    Screenshot_20240711-173537.jpg
    401.3 KB · Views: 2
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Leo ngoja nikupe faida za UMASKINI,.
Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.
Pia kama wewe ni mpambanaji na unapambana juu ya umaskini na hali ya maisha uliyonayo kwasasa basi nikutie moyo pambana sana, kwamaana FAIDA za umaskini si lolote si chochote ukilinganisha na hasara zake.

Sina sababu za kumuelezea sana maskini kwa maana maskini wenyewe mnajijua na matajiri pia mnajijua.

Faida kubwa za UMASKINI
1. MASKINI HANA SIKU YA HUKUMU
maskini ukifa umekufa, maskini haukumiwi maskini ni laana ambayo Mungu alishakupa duniani na mahangaiko yako. Kama unahisi kuwa utahukumiwa ukifa wewe sio maskini labda wale matajiri.
Maskini haambiwi atoea sadaka wala haambiwi aende kuiji makka wala haulazimishwi kwenda ibadani wewe ibada yako ni kuhangaika. Nenda kahangaike na kulipia watoto ada, nenda kahangaike na pango za nyumba nenda kahangaike na kula maswala ya kwenda kuimba ibadani waachie walio jipata, na Mungu atakuwa pamoja na wewe.


2. MASKINI HAFIRISIKI
Maskini hawazii sijui kufirisika, sijui kushuka kiuchumi,.
Maskini akipata poa akikosa poa pia.

3. MOYO WA MASKINI NI WENYE UTULIVU
Ndio maskini hupata tabu ya mwili, ila kapewa amani ya akili na mwenye moyo mtulivu na amani.
Maskini haitaji ulinzi wa mabaunsa mlangoni kwake, wala haitaji kupima chakula kabla ya kukila. Maskini huokota tunda na kulila bila kuwaza, tena bila kuzulika.

4. MARA NYINGI ANAKUWA HURU
mara nyingi anakuwa jamiiforum, mara nyingi anakuwa kijiweni kwenye vijiwe vya kawaha nk, mara nyingi hupenda kuzunguka zunguka na kuranda mitaani huku na kule na ndio wengi wao tunawaona facebook instagram na X.

5. KUNYWA POMBE ZA KIENYEJI
Kati ya vitu maskini huwa anafaidika navyo ni pombe za kienyeji, pombe ambazo zimejaa mambo mengi mazuri na yenye furaha.

6. UMASKINI HUFA JASIRI
Maskini haachi majumba makubwa , magari wala viwanja.
Huchumia tumbo lake mpaka mwisho wa pumzi yake.
Huyu ndio mwamba, anakuja kwenye dunia na kuondoka bila kuacha ushahidi. Mr silent
Hili ni tatizo la utambuzi
 
Maskini huwa tunasubiria miaka ya uchaguzi ndiyo tupate Nguo Nzuri za vyama vya siasa. Nguo hizo ugaiwa bure huku tukiambiwa Ni Takrima ya chama. Kisha tunaambiwa tulipe fadhira kwenye sanduku la kura.☑️☑️
View attachment 3186957

Maskini tunakula tunashiba chakula chochote Bila kujali kimepikwaje au mazingira ya upikaji.
View attachment 3186961
Maskini tunakunywa Maji yoyote, tunashare Maji na mifugo yetu katika dimbwi moja. 🤪🤪🤪
Habari za kumtua mama ndoto kichwani hizo stori tunazisikiaga redioni Tu.🚱🚱🚱
View attachment 3186968

Tukishashiba Ugali wetu Wa udaga, tunakutana marafiki kuchangamsha akili kwenye kijiwe chetu cha mama Muuza. Hiyo inaitwa Jisevie utakavyo. 🍺🍺🍺
View attachment 3186972

NB: ila pamoja na yote hayo, tusiache kutafuta Pesa.
Tupo pamoja hapo mzee
 
Tajiri kuingia mbinguni ni ngumu kuliko kwa ngamia kepenya kwenye tundu la sindano.(Hii ndio hasara ya utajiri).
Siamini kama kuwa masikini ni laana na kuwa tajiri ni baraka ,kwasababu hata shetani kuzimu majini waganga wa kienyeji...wanaweza kumpa mwanadamu utajiri mafanikio.Mfano mtu aliyepata utajiri wake kwa kufanya magendo shughuli haramu au kutoka kwa nguvu za giza siwezi kuita amebarikiwa.
Nikiangalia baadhi ya mitume na manabii wa mwanzo wengine hawakuwa matajiri sio kama hawa wa sasa wa mafuta ya upako.

Kwenye biblia kuna mfano wa MASKINI na tajiri lazaro.(alioutoa Yesu na Yesu huwa anatoa mifano ya kweli hasemi uongo)
MASKINI baada ya kufa alikwenda peponi(hii ina maaanisha maskini sio mlaaniwa..mana mbingu ni takatifu na waingiao mbinguni ni watakatifu.)
MLAANIWA ni shetani na wafiasi wake na mlaaniwa shetani na walaaniwa wengine ndio huenda motoni...sasa katika mfano huu wa tajiri lazaro na masikini...aliyeingia motoni ninTAJIRI LAZARO.

Mfano mwingine alioutoa Yesu alipokuwa akipita na wanafunzi wake walimuona masikini(wale wanafunzi wakamdharau yule masikini na kumuhukumu kwa kumuona UMASIKINI WAKE ni kama adhabu au laana ..waliwaza hivi huyu masikini alitenda kosa gani dhambi gani kubwa kiasi akapata laana au adhabu kubwa hivi ya kuwa masikini na omba omba kiasi hiki....
Yesu aliwajibu...wasifikiri yuke maskini ni WORST SINNER THAN ANY ONE ELSE..Do you think that these Galileans were worse sinners than all other Galileans because they have suffered in this way?luke 13.
sio kwamba umasikini ni adhabu au laana ,au yeye masikiini ni mdhambi kuliko wasio masikini,au wao wasio masikini ni wasafi kuliko masikini).

HITIMISHO
Napinga kuwa umasikini ni laana.
Napinga kuwa utajiri ni baraka aisee kuna matajiri wa kutumia ndago,kimbola wameharibu watoto wao au ndugu zao wamekuwa matahira wengine wametoa kafara.
.UTAJIRI wa kizazi chetu una siri nyingi sana japo sio matajiri wote.Wapo wanaokesha kwa waganga wapo waliouza nafsi zao roho zao kwa MIZIMU YA KWAO na kwa shetani au majini ,wapo waliopata kwa kufanya mambo haramu biashara haramu.UTAJIRI UNA SIRI KUBWA..wapo waliopata kwa WIZI ,na rushwa,na kumwaga damu za watu..dirty money.pesa chafu za damu.,ambao ni utajiri wa laana sio baraka.
Wakati mwingine watu wengine wanakataa kupokea rushwa kulamba asali sio kwamba hawataki utajiri ila wao wanaona ni heri kuchagua jina jema kuliko mali,heri kuchagua haki na utu kuliko heri kula chakula cha mboga panye upendo amani na utu kuliko ngombe aliyenona pamoja chakula najisi cha wafalme hawako tayari kujinajisi kwa utajiri haramu.
Unaweza ukawa TAJIRI WA ROHO yani una matunda ya roho mtakatifu furaha amani,upendo,utu wema,upole kiasi,fadhili,imani nk.
Hatukuja na kitu duniani na tena hatutaondoka na kitu duniani.
Duh
 
"Maskini ni laana ambayo Mungu alishakupa duniani"..Mtoa mada unafikiria kabla ya kuandika so unamaanisha maskini wote wamelaaniwa na matajiri wote wamebarikiwa?Mitume na manabii wenu wengi wao wameishi maisha ya kawaida nao walikuwa wamelaaniwa?Yesu alizaliwa kwenye hori na la ng'ombe na aliishi maisha ya kawaida je na yeye alikuwa amelaaniwa?Hiki ni kizazi cha watu wenye macho ila hawaoni,wana masikio lakini hawasikii.Mungu ana mpango na kila mtu awe tajiri au maskini!
Mtoa mada anasema maskini wakifa hawaendi motoni Kwa sababu moto ndo umaskini lakini matajiri wakifa wanaenda motoni Kwa sababu raha yao wameshaiponda duniani.

Vise versa is true
 
Mtoa mada anasema maskini wakifa hawaendi motoni Kwa sababu moto ndo umaskini lakini matajiri wakifa wanaenda motoni Kwa sababu raha yao wameshaiponda duniani.

Vise versa is true
Kabisa, nitashangaa sana (DOTO MAGARI, CHIEF GOD, SIJUI MO , MOND
Nikiwakuta peponi.
Kwa maana hata Mungu mwenyewe anasema ni ngumu sana kwa tajiri kwenda peponi ni kama ngamia kupenya kwenye tundu ya sindano
 
Back
Top Bottom