secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Yap, mkia wa mbele ukikosekana Kwa mwanaume balaa lake huwa ni nzito.Ahaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap, mkia wa mbele ukikosekana Kwa mwanaume balaa lake huwa ni nzito.Ahaaaaa
Je na vipi waliokosa mkia si ni peponi moja kwa moja au hiyo imekaajeYap, mkia wa mbele ukikosekana Kwa mwanaume balaa lake huwa ni nzito.
Kabisa mkuu, haiwezekani mtu ale bata akiwa hai mpaka akiwa mfu, mambo vise versa.Kabisa, nitashangaa sana (DOTO MAGARI, CHIEF GOD, SIJUI MO , MOND
Nikiwakuta peponi.
Kwa maana hata Mungu mwenyewe anasema ni ngumu sana kwa tajiri kwenda peponi ni kama ngamia kupenya kwenye tundu ya sindano
Amini amini nawaeleza, hukumu ya maskini imeshahukumiwa tokea dunianiKabisa mkuu, haiwezekani mtu ale bata akiwa hai mpaka akiwa mfu, mambo vise versa.
Fakti endi noti pinionAmini amini nawaeleza, hukumu ya maskini imeshahukumiwa tokea duniani
Ashakwambia maskini wanashinda mitandaoni! Ahahahahaha!!!MASKINI UMEKULA ? AU UNA BWABWAJA TU
We dhubutu yako, tofautisha maskini na life styles. Magonjwa yanawagonga woteAlafu umaskini raha yake huwezi sikia unaumwa magonjwa ya ajabu ajabu eti sijui cancer mara add sijui alzaimers au kisukari na presha.
Mwisho kabisa maskini tunakula mbususu kavu kavu. Hakunaga maskini anagegeda na condom hizo ni za wasomi na matajiri
Aikudanganya nani? Wee ulishaona bodaboda anaumwa cancer? Au alzaimazsWe dhubutu yako, tofautisha maskini na life styles. Magonjwa yanawagonga wote
Wee cancer inatembea na familia, nenda muhimbili ukute mtu wa chini kabisa na ana cancer ya mifupaAikudanganya nani? Wee ulishaona bodaboda anaumwa cancer? Au alzaimazs
Hamna kitu kama hicho. Huyo mpaka kafika muhimbili tayati sio maskini.Wee cancer inatembea na familia, nenda muhimbili ukute mtu wa chini kabisa na ana cancer ya mifupa
Magonjwa hayabagui
Nashukuru sana kwa kuongezea na kuniongezea faida1.huna hofu ya kuvamiwa na wezi mana hakuna mali ya thamani kwako ya wao kuiba.
2.Huna haja ya kwenda gym kufanya mazoezi maisha yako ni mazoezi tosha
3.Huna haja ya kukataa ndoa mana mke wako ni wife material hayupo kwako kimaslahi.
4.Huwezi kupata unene(magonjwa ya unene) kwa sababu ya kula ovyo ushauri wa dr janabi wa kula kidogo wewe unaufuata automatically.
Hakuna tajiri analijua neno https://jamii.app/JFUserGuide🤣🤣🤣🤣🤣Matajiri wanaandikaje "Get rich o Die trying" ?
Kwanza kwenye michango ukijificha hujulikani kabisa mkuu😆Kabisa mkuu, na hapewi kipaombele kwenye michango ya misiba
😂😂😂😩😩Kwanza kwenye michango ukijificha hujulikani kabisa mkuu😆
HheheeeUmasikini ni mzuri kama upo mbali na wanaokujua
Sema weweHakuna tajiri analijua neno https://jamii.app/JFUserGuide🤣🤣🤣🤣🤣
Nashukuru kwa kunielewa.Ashakwambia maskini wanashinda mitandaoni! Ahahahahaha!!!