Faida za UMASKINI

Faida za UMASKINI

Kabisa, nitashangaa sana (DOTO MAGARI, CHIEF GOD, SIJUI MO , MOND
Nikiwakuta peponi.
Kwa maana hata Mungu mwenyewe anasema ni ngumu sana kwa tajiri kwenda peponi ni kama ngamia kupenya kwenye tundu ya sindano
Kabisa mkuu, haiwezekani mtu ale bata akiwa hai mpaka akiwa mfu, mambo vise versa.
 
1.huna hofu ya kuvamiwa na wezi mana hakuna mali ya thamani kwako ya wao kuiba.

2.Huna haja ya kwenda gym kufanya mazoezi maisha yako ni mazoezi tosha

3.Huna haja ya kukataa ndoa mana mke wako ni wife material hayupo kwako kimaslahi.

4.Huwezi kupata unene(magonjwa ya unene) kwa sababu ya kula ovyo ushauri wa dr janabi wa kula kidogo wewe unaufuata automatically.

5.Huna hofu ya kuogopa kufilisika au kushuka kiuchumi.
 
Alafu umaskini raha yake huwezi sikia unaumwa magonjwa ya ajabu ajabu eti sijui cancer mara add sijui alzaimers au kisukari na presha.

Mwisho kabisa maskini tunakula mbususu kavu kavu. Hakunaga maskini anagegeda na condom hizo ni za wasomi na matajiri
We dhubutu yako, tofautisha maskini na life styles. Magonjwa yanawagonga wote
 
1.huna hofu ya kuvamiwa na wezi mana hakuna mali ya thamani kwako ya wao kuiba.

2.Huna haja ya kwenda gym kufanya mazoezi maisha yako ni mazoezi tosha

3.Huna haja ya kukataa ndoa mana mke wako ni wife material hayupo kwako kimaslahi.

4.Huwezi kupata unene(magonjwa ya unene) kwa sababu ya kula ovyo ushauri wa dr janabi wa kula kidogo wewe unaufuata automatically.
Nashukuru sana kwa kuongezea na kuniongezea faida
 
Back
Top Bottom