Faida za UMASKINI

Faida za UMASKINI

Ila kuna wanaosema umasikini unakaribiana na ukafiri,hii kauli sijaielewaga inamaana gani,mwenye kujua tafadhali,naomba anijuze.
 
Faida ya kuwa masikini
•unatulia na ndoa yako.
•ajari za barabarani utazikwepa kwa 50% kwasabu husafiri safiri
•Hypertension na correstral utakufa huzifaham
•utakufa kwa kukosa nauli na hela ya matibabu
 
Faida ya kuwa masikini
•unatulia na ndoa yako.
•ajari za barabarani utazikwepa kwa 50% kwasabu husafiri safiri
•Hypertension na correstral utakufa huzifaham
•utakufa kwa kukosa nauli na hela ya matibabu
Sawa mzee kikwava
 
Hawa ndio masikini sasa.
Screenshot_20241229_161914_Instagram~3.png
 
Back
Top Bottom