Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea kama unataka utumie kwa ajili ya kinga, au tiba.dozi yake ikoje namie nimeze
Tafuna kila siku punje 5 mkuudozi yake ikoje namie nimeze
Kinga, tiba na nguvu za kiumeInategemea kama unataka utumie kwaajili ya kinga, au tiba
Kuhusu tiba inategemea na ugonjwa wenyewe, wacha niongelee kinga,kinga, tiba na nguvu za kiume
Tena sio mafua tu, kuna vijiugonjwa vya ajabu ajabu vinakupitia mbaliNi kweli mkuu mana mi mwenyew ni mtafunaji wa kitunguu swaumu na nina zaidi ya 3 yrs siyajui mafua
Asante sana mkuu.Huo ugonjwa unanitesa sanadah Jamani nilisumbuliwa na vidonda vya Tumbo mda mrefu lakini tangu nianze dozi ya vitunguu swaumu nimekuwa mpya balaa kila siku asubuhi natumia punje Sita na glassi mbili za maji kutwa maramoja jaribu hivyo kwa wiki mbili utaona Majibu yake
Kutafuna ni mtiti aisee hata mimi ilinishindaga ndomana nikatuma alternative, nilikuwa natwanga then nachanganya na maji ya uvuguvugu kijiko kimoja cha chai, then nameza tulazma kutafuna, nikimeza tu bila.kutafuna?
Maji yapi? Moto /baridi / vuguvugudah Jamani nilisumbuliwa na vidonda vya Tumbo mda mrefu lakini tangu nianze dozi ya vitunguu swaumu nimekuwa mpya balaa kila siku asubuhi natumia punje Sita na glassi mbili za maji kutwa maramoja jaribu hivyo kwa wiki mbili utaona Majibu yake
nirudishe heshima nyumbaniNguvu za kiume? Uzipeleke wapi we evelyn
Evelyn hata mie nashangaa piaSasa mkuu wewe ni FE au ME.... Maana dawa ya nin kama jina laonesha ni FE!? Samahani lakini
pia hata nguvu za kike nazo inatibueeeh kaka yangu inasimama kidogo kidogo kama vile ina pancha naomba dawa
maji baridiMaji yapi? Moto /baridi / vuguvugu
Vipi tupe mrejesho.Dah! Mkuu naanza leo dozi nione network itakuwa 3g/4g full time!