Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

babkaju3,
Inaweza kua kweli ila sasa kuhusu kutumia kitunguu swaumu sikushauri kwa maana kina harufu kali sana mdomoni yaani hata upige mswaki kitu hakiishi.

Nakushauri tumia mchanganyiko huu
Maziwa fresh (yachemshwe), tende na asali.

Hivyo vitu vichanganye kwa pamoja kisha saga kwenye blenda iwe juice safi kabisa.
Usiku kabla ya kulala piga glass moja tu, kisha subiri baada ya saa moja ingia kazini.
Usisahau kuleta mrejesho.

Kumbuka tende uzitoe mbegu kwanza, pia katika maziwa ya glass moja uweka tende 20-30 zinatosha sana na asali hata vijiko 2-3.

Kazi yake sio ya kitoto.

Angalizo; angalia usije kumkomoa mkeo kama unajua yeye ni mvivu.
 
mazoezi ndo kila kitu asee jitahidi sana nusu saa au saa kwa siku.nikweli ulivosema ila kwa urahisi tuu uwe unatafuna vipande vitatu vya tangawizi asubuhi na jioni muda wa kulala.pia unaweza saga tangawizi mbichi ukaichemsha ukawa unakunywa asubuhi na jioni akikisha unaweka inakuwa kali

pia unaweza chukua asali kijiko kimoja ukamix na na mdalasini.unatumia asubuhi na jioni.yaani unakuwa unaramba.au unaweza chemsha tangawizi ukamix na mdalasini hapo mzuka tuu.

kingine jitahidi kutumia sana matunda km maparachichi,ndizi,carrots,tikiti pia kutafuna nyanya chungu mbichi

mwisho mazoezi cna asee pia unapokuwa unapiga mzigo jitahidi uvute hisia za kazi hyo na jiamini kidume.pia jitahidi kufanya mazoezi ya kubana mkojo kwa muda unaachia hii itakusaidia hata ukihisi bao linakuja unaweza kuzuia japo c rahisi.

[HASHTAG]#asante[/HASHTAG] sana



Sent using Jamii Forums mobile app
hapo kwenye mazoezi mkuu nakuunga mkono,ukipata sehemu yenye mlima ukapanda ndani ya wiki 2 penis ikisimama inakuwa ngumu kama mpingo
 
Kama jibu ni ndiyo, basi shaka hiyo haipaswi kuachwa bila kufanyiwa kazi. Ulaji wa vitunguu wenye kuzingatia maelekezo sahihi ya wataalamu wa lishe ni suluhisho tosha la namna bora ya ‘kunogesha’ ndoa, sababu ikiwa ni uwezo mkubwa wa chakula hicho katika kuupa mwili nguvu ya kushiriki jambo hilo kwa namna iliyo bora zaidi.

Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, ambazo baadhi zinachambuliwa kwa kina katika mitandao yenye habari za mapenzi na lishe kama wa ‘knowyourlove.wordpress’, ni kwamba ulaji wa vitunguu huwaongezea wawili uwezekano wa kufaidi ndoa yao kwa kuwapatia afya bora ya mwili kwa ajili ya mambo ya ndoa.

Inaelezwa kuwa vitunguu ni chanzo cha utitiri wa madini muhimu yanayohitaji mwilini, yakiwamo yale yanayosaidia kurekebisha kiwango cha sukari ambacho hutajwa kuwa chanzo cha kuyumbisha uwezo wa wawili katika kuridhishana pindi kisipodhibitiwa ;
kuimarisha afya ya moyo; kuzuia kansa; kuukinga mwili dhidi ya vidonda vya tumbo na pia kuzuia maambukizi ya vimelea mbalimbali vya magonjwa mwilini.

Kwa mujibu wa madaktari na pia wataalamu wa lishe, inaelezwa kuwa vitunguu ni chakula chenye kiasi kikubwa cha
‘aphrodisiac ‘, ambacho ni kiini lishe muhimu kwa masuala ya unyumba.

“Husaidia pia kuongeza nishati na kuimarisha viungo vya mwili vinavyohusika katika kuzalisha vichocheo vya tendo la ndoa.

Vitunguu pia huongeza mwilini kiwango cha testosterone na kusaidia kuongeza nguvu ya kushiriki tendo la ndoa,” mmoja wa madaktari aliiambia Nipashe kuhusiana na umuhimu wa vitunguu mwilini.

NAMNA YA KUVITUMIA
Inaelezwa kuwa faida za vitunguu mwilini ni nyingi, lakini zote hupatikana vyema pale mlaji anapozingatia maelekezo sahihi kabla ya kuvijumuisha katika mlo wake.

Miongoni mwa njia zinazoweza kumpa faida mlaji mwenye nia ya kupata ufumbuzi wa tatizo la nguvu za kiume (kwa kina baba), kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, ni pamoja na kuvitafuna vikiwa vibichi au mcghanganyiko wake baada ya kupondwa.

“Unaweza kukata kitunguu katika vipande vinne na kuvisaga kwa blenda (blender). Baada ya hapo, kunywa juisi yake ambayo husaidia sana kumuongezea mlaji uwezo wa kushiriki tendo la ndoa,” alisema mtaalamu mwingine kabla ya kuongeza kwa kutoa tahadhari:

“Juisi (ya kitunguu) ni chungu na hivyo unapaswa kunywa polepole ili kutoushitua mfumo wa mwili kwa kuinywa ghafla na kwa haraka.

Kuongeza vitunguu swaumu katika juisi ya vitunguu vya kawaida pia ni jambo zuri na husaidia sana kuongeza nguvu za tendo la ndoa. Mchanganyiko wake unaweza kuitwa dozi ya mapenzi kutokana na faida zake nyingi mwilini kwa ajili ya kufanikisha tendo la ndoa.”

Aidha, inaelezwa kuwa njia nyingine nzuri ya kutumia vitunguu ni kwa kuvikata vipande vidogo vidogo na kuvikaanga kwa jibini, kisha kuvila pamoja na asali kama chakula cha kwanza kuingia mwilini asubuhi.

Mchanganyiko huu unatajwa vilevile kuwa nafaida kubwa za afya ya tendo la ndoa na pia huupa mwili kiasi kikubwa cha kiinilishe cha ‘aphrodisiac’.

Vitunguu husaidia pia kuongeza urembo katika ngozi za walaji wake, hasa kina mama.

Chanzo: Nipashe
 
Yani Tanzania kwa kuwaza ngono duh we mtoa mada ushindwe wacha watu wamalizs nyege kwenye kazi na sio 6/6
 
Mtatuua jamani khaa! kila chakula utasikia inaleta heshima ya ndoa [emoji23][emoji23] inaonekana hili tatizo la nguvu za kiume tunalo kweli.
 
Back
Top Bottom