Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikutana na K inayonuka ndo basi tena mtatengeneza Xpel ya kuua wadudu.Yani kutwa nzima ninuke vitunguu kisa K mhm!
Asenteeee baba😀.
Kiongozi...
Suala la hatimiliki nitalifanyia Kazi...
Hiyo aina Msimu wa Masika, Vuli, wala Kiangazi...
Wahenga walikuwepo, wapo, na watakuwepo kila Kizazi...
Tunaendana na Zama kama ilivyokuwa Guta na sasa Bajaji...
Ukilazimisha pasipoingilika utakwenda na Maji...
Ni msemo tu, na wala si Mauaji...
Kama ilivyo Biashara kianzio chaitwa Mtaji...
Hizi sio Tenzi bali nimejisikia Mdadi wingi wake Midadi...
Ni mzuka tu wingi wake mizuka haihitaji namba wala Idadi...
Vitunguu swaum nnavovijua ukuchanganya na mtindi tu hapo kuna kutapka!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Isije ikawa tunawasema tu wanaume wa Dar wakati na sisi tumeupenda uzi na tunakula vitunguu swaumu kimya kimya..!!
Mkuu naongezea apo, akituma text kwa man mwenzake anamuita My, Wangu, na maneno mengine kama, Nesheeedah, Veepeee? Mwanaume kutumia haya maneno sio kabisa, inaboa kinoma 🙁🙁🙁🙁Wanaume wa Dar huu uz unawahusu maana hata tabia zenu ni za kike kike sana
Mara muonapo watu mnaanza
Jomoniiiii
Waoooooo
My goshiiiii
Iv kweli kwa akili tu ndogo mtoto wa kiume unaweza tamka maneno kama haya