Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

Asante, hata mimi sitaki KUWAHI kufika kileleni MAPEMA, nataka niwahi kufika kileleni kwa KUCHELEWA.. kiswahili nacho bana
 
Nimekuwa na tabia ya kutafuna na kumeza kitunguu saumu kabla ya kupanda kitandani kulala kila siku, kwa ajili ya kupunguza uwezekano wa kupata HBP!
Kiukweli sijawahi kufikiria hata siku moja kama huwa inasaidia nguvu za kiume!
Vipi lakini ukiwa unapiga show wazungu wanawahi kuja au wanachelewa?
 
Chukua Oil number 90 kikombe kimoja.. changanya na mafuta ya break ya DOT 3. Halafu changanya na aloevera jani moja katiakatia kwenye ule Mchanganyiko, mwisho weka unga wa pembe ya ndovu. Kunywa mara moja tu, utaweza kupiga show za kuvunja kiuno cha mwanamke miaka mitano mfululizo.
 
Habarini wana Jf,

Katika kupambana na tatizo la nguvu za kiume linalowaandama vijana wengi hapa nchini leo nimepata wazo nataka nililete kwenu tusaidiane. Vitunguu swaumu nivitwange viwe laini kabisa halafu nisugulie kwenye uume wakati umesimama nafkiri itasaidia kustua mishipa ya damu na kufanya uume usimame barabara na pia kama kuna fangasi katika uume wafie mbali. Hii imekaaje wakuu nataka niifanyie test.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitunguu swaumu kinamsaada katika mfumo wa ndani wa mwil wa binadamu
Mkuu think outside the box, fanyia uchungua ikitumika kama matumiz ya ndan na sio vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wengi wahuni wenye kupiga show muda mrefu huwa wanapenda sana kuitumia hiyo njia ya kitunguu swaumu ila wao sababu yao kubwa ni pale anapomwingilia mwanamke,

mwanamke awashwe sehemu zake za siri na kama alitaka kuondoka mapema atalazimika kubaki ili aendelee na show sababu sasa mwanaume ndio atakua anamkuna wakati anapomuingilia, na kila mwanamke akipumzika tu lazima atawashwe na kile kitunguu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom