Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
Ukiacha Usimba na Uyanga pembeni kuna faida kubwa ya timu zetu kuingia nusu fainali kuliko unazi wetu
a) Kwanza Simba atapanda kiwango na rank toka point 39 mpka 54
Hiyo ni regardless kama Es Tunis atafuzu
b) Hivyo hata msimu ujao wa kwenye upangaji wa makundi atapanda Toka pot 3 kwenda pot 2 au pot 1 kabisa kutegemeana kama atafika fainali
c)Yanga naye atapanda rank na kiwango toka point 31 mpka 46 regardless kama TP Mazembe na Petro de Luanda nao watafuzu
d) Hivyo hata msimu ujao kwenye upangaji wa makundi atapanda Toka pot 4 kwenda 3 au hata pot 2 kutegemeana kama atafika fainali
e) Uwezekano wa kombe kubaki Bongo ni mkubwa
Kwani Simba akipita atakutana aidha na Mazembe au Petro de Luanda huku Yanga akikutana na aidha Asec Mimosas au Es Tunis
Hapo tayari Uwezekano wa WOTE kwenda fainali ni mkubwa kwani hizo timu siyo ngumu kivile ukilinganisha na Al Ahyl na Mamelodi Sundowns
f) Ni sifa kubwa kwa mpira wetu na nchi yetu
Maadmnin WOTE wa page za CAF iwe X, Insta, FB na Threads wanalijua vibe la wabongo kwenye page zao
Najua wanaomba Simba na Yanga ziendelee kuwepo Ili mashabiki wao waendelee kuongeza engagements kwenye pages zao
Hata yule mickyjr anajua umuhimu wa wabongo mitandaoni ndo maana haishi kutugombanisha wanasimba na wanayanga kwenye kurasa zake Ili tu tujibizane apate engagements
All in all, ningependa WOTE twende nusu.
Halafu tukutane fainali tukate mzizi wa fitina wa nani mbabe.
a) Kwanza Simba atapanda kiwango na rank toka point 39 mpka 54
Hiyo ni regardless kama Es Tunis atafuzu
b) Hivyo hata msimu ujao wa kwenye upangaji wa makundi atapanda Toka pot 3 kwenda pot 2 au pot 1 kabisa kutegemeana kama atafika fainali
c)Yanga naye atapanda rank na kiwango toka point 31 mpka 46 regardless kama TP Mazembe na Petro de Luanda nao watafuzu
d) Hivyo hata msimu ujao kwenye upangaji wa makundi atapanda Toka pot 4 kwenda 3 au hata pot 2 kutegemeana kama atafika fainali
e) Uwezekano wa kombe kubaki Bongo ni mkubwa
Kwani Simba akipita atakutana aidha na Mazembe au Petro de Luanda huku Yanga akikutana na aidha Asec Mimosas au Es Tunis
Hapo tayari Uwezekano wa WOTE kwenda fainali ni mkubwa kwani hizo timu siyo ngumu kivile ukilinganisha na Al Ahyl na Mamelodi Sundowns
f) Ni sifa kubwa kwa mpira wetu na nchi yetu
Maadmnin WOTE wa page za CAF iwe X, Insta, FB na Threads wanalijua vibe la wabongo kwenye page zao
Najua wanaomba Simba na Yanga ziendelee kuwepo Ili mashabiki wao waendelee kuongeza engagements kwenye pages zao
Hata yule mickyjr anajua umuhimu wa wabongo mitandaoni ndo maana haishi kutugombanisha wanasimba na wanayanga kwenye kurasa zake Ili tu tujibizane apate engagements
All in all, ningependa WOTE twende nusu.
Halafu tukutane fainali tukate mzizi wa fitina wa nani mbabe.