Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

1. AlhamduliLlah njia ipo tayari wala sikuitafuta wala sikuichagua. Majibu ya maswali yako yanapatikana unapoanza tu kuisoma Qur'an, jisomee:

Qur'an 1:
1.
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU

2. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; 2

3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu; 3

4. Mwenye kumiliki siku ya malipo. 4

5. Wewe tu tunakuabudu, na wewe tu tunakuomba msaada. 5

6. Tuongoe njia iliyonyooka. 6

7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea. 7


2) Kuhusu "kucha Mungu", jibu lake:

Qur'an 2:
2.
Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu, 2

3. Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa.3

4. Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini nayo. 4

5. Hao wapo juu ya uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio walio fanikiwa. 5
 
Asalamalekum mimi swali langu unaonaje usajili wa simba na yanga mwaka huu kuelekea msimu wa vpl na udhamini wa sportpesa.. Pia naomba nikuchek pm unipe ushauri binafsi mimi mjukuu wako katika mambo yangu.. Asante
 
Asalamalekum mimi swali langu unaonaje usajili wa simba na yanga mwaka huu kuelekea msimu wa vpl na udhamini wa sportpesa.. Pia naomba nikuchek pm unipe ushauri binafsi mimi mjukuu wako katika mambo yangu.. Asante

Kwa mujibu wa taarifa ninazozisoma kwenye vyombo vya habari, Simba mwaka huu wanasajili wachezaji wa gharama zaidi ya Yanga.

Kuhusu pm, sipendi, sioni kipi cha kuulizana pm wakati hatujuwani.
 
Kwa mujibu wa taarifa ninazozisoma kwenye vyombo vya habari, Simba mwaka huu wanasajili wachezaji wa gharama zaidi ya Yanga.

Kuhusu pm, sipendi, sioni kipi cha kuulizana pm wakati hatujuwani.
Asante kwa jibu zuri.. Ila hapo katika pm niliomba kama msaada kwani hatujuwani kweli ila tunajuana kama wanajamii wa jf ambapo hatuna matabaka na vyema ukamsiliza anae omba msaada na ndio fursa ya kujuana
 
Asante kwa jibu zuri.. Ila hapo katika pm niliomba kama msaada kwani hatujuwani kweli ila tunajuana kama wanajamii wa jf ambapo hatuna matabaka na vyema ukamsiliza anae omba msaada na ndio fursa ya kujuana
Nitakusikiliza. Tuma pm.
 
Qur'an 28:
55. Na wanapo sikia upuuzi hujitenga nao na husema: Sisi tuna vitendo vyetu, na nyinyi mna vitendo vyenu. Salamun Alaikum, Amani juu yenu! Sisi hatutaki kujibizana na wajinga.


usipende kunukuu vitu tu yabidi utumie na akili yako.....yaani hapo haueleweki bado.
 
FaizaFoxy Hili gazeti gazeti LA Leo. Linaelezea kuhusu sunna na Quran. Lakini we we unapingana na Sunna Bali unaamini Koran ndiyo kila kitu.

Yule mwenzako alikuambia kuna swala (sijui ya adhuhur)namna inaswaliwa na muongozo umetokana na na hadithi za Mtume.

Je Haiwezekani kua umekua too rigid?

Nipe maoni yako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda ungesema uulizwe maswala ya dini yako mana naona ndio unayoulizwa sana. Na watu ambao wanatafuta sana kuijua dini kuliko Mungu ndio hawahawa mabingwa wakunukuu na kukariri vipengele Ili kujaji watu, kuonyesha wao ni zaidi kwa manufaa yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee, nisubra gni iloelezewa ktk hilo gazeti kama umelisoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijalisoma hilo gazeti.

Umegusia kuwa "wewe unapinga sunna".

Napenda ufahamu kuwa kuna Sunna zimeainishwa kwenye Qur'an nami siipingi Qur'an na ndiyo muongozo wangu na rejea yangu. Nakushauri fungua Qur'an na uzisome ni sunnat zipi zinazoongelewa kwenye Qur'an kwa faida yako.
 
Kwa wewe kujiona ni "Walking Encyclopedia".
Ukiwa kama mwanamke wa kiislamh, Quran inasemaje kuhusu kujitweza/kujiinua?
Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo ni dhana.

Qur'an 49:
12. Enyi mlio amini! Jiepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala msipelelezane, wala msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa? Mnalichukia hilo! Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba, Mwenye kurehemu.
 
FaizaFoxy nilisoma mahali kua wamisri wa zaman walikua weus hivi ni kweli kihusu hili? Pia mussa na yesu was all black people , have you ever came across those?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…