Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Asante mama faiza kwa majibu mazuri na ya mkato.Rais ana sababu zake za kuteua au kutokuteua. Sizifahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mama faiza kwa majibu mazuri na ya mkato.Rais ana sababu zake za kuteua au kutokuteua. Sizifahamu.
Ktk uislam kuna vitenguz vya uislamu sio nmekuhukum kasome izó nullifier..... Ok tuishie hapa me nlikushaur tu nakukupa nasiha...... Kwaajili ya Allah ila umekuwa na kibr ok May Allah guide u to islam and give u and us a beneficial knowledge and let not us dying except in the state of islam.... AmeenUmeshanipachika majina lukuki na kunihukumu kuwa si Muislam halafu unaniuliza kuhusu sala?
Hivi mafundisho hayo ndiyo ya sunna?
Uzi wake huu, andika wako na wewe nikujie Pm, متكو يكوKafir wa kwanza katika dunia hii ni Muhammad...nimelieleza hilo mara nyingi tu, unataka kujua sababu?
Ungekuwa umemwandikia yeye ungeandika via PM.
Ameongelea masala ya dini ndo mana nimemuuliza na kumrekebisha coz tumekatazwa kuzungumza bila elimu...
"na wala usipite kusema usiyo na elimu nayo,hakika ya moyo..macho na ulimi vitaulizwa siku ya kiyama"(surat bani Israel)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa napenda ufahamu ya kuwa Muislam anaefata mafundisho ya Uislam hawezi "kujipa ruhusa" nje ya mafundisho ya Uislam.FaizaFoxy nakuongezea swali
UMESEMA NDOA YA KWANZA NI KATI YA ADAMU NA HAWA.. NI DHAHIRI KUWA MWENYEZI MUNGU ALIMPA ADAMU MKE MMOJA
1. SASA KWANINI NYIE WAISLAM NA MTUME MMEJIPA RUHUSA YA KUOA WAKE HADI WANNE?
Ktk uislam kuna vitenguz vya uislamu sio nmekuhukum kasome izó nullifier..... Ok tuishie hapa me nlikushaur tu nakukupa nasiha...... Kwaajili ya Allah ila umekuwa na kibr ok May Allah guide u to islam and give u and us a beneficial knowledge and let not us dying except in the state of islam.... Ameen
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwenge unatusaidia nini?Si wao, hao ni "victims" wa mfumo wetu wa elimu tuliourithi na tunaouendeleza.
Mkuu mwenge unatusaidia nini?
Kwanini unaipenda ccm iliyoshindwa kuleta mabadiriko chanya yapata miaka arobaini sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
FaizaFoxy
Ni nini maana ya mwanamke kusema amechoka wakati ameenda kwenye kitanda cha mume na mke na kuwa amevaa dera
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabadiliko chanya ni ktk nyanja za maendeleo ya wanainchi elimu bora yenye tija kwa wote fulsa za kimaendeleo bila kubaguanakubaguana= mabadiliko
Mwenge kwa mtazamo wangu naona hautusaidii chochote bali unatutia hasara nyingi tu, kuanzia za uchumi, kimaadili mpaka kidini. Binafsi sishiriki wala siioni sababu ya kukimbiza moto. Ni ibada ya kishetani.
CCM ni chama na chama ni watu.
Sijaona mbadala wa CCM wenye ahueni.
Mabadiliko chanya au hasi hayategemei chama.
Sielewi kwa mabadiliko chanya unamaanisha nini?
Mabadiliko chanya ni ktk nyanja za maendeleo ya wanainchi elimu bora yenye tija kwa wote fulsa za kimaendeleo bila kubaguanakubaguana
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna aina 3 za kujibu swaliUmeshindwa kujibu swali umeanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
FaizaFoxy kwanini Mungu alimpa mke mmoja adamu ila nyie quran yenu mnahimiza wawili, watatu, wanne.. Halafu yule wa mmoja anaonekana 'aliyeshndwa' kabisa...
Halafu ukisema hakuna kitabu kilichotaja mke mmoja unazingua.. Mana kwenye biblia kuna 'mke' na siyo 'wake'
Umesahau namba 4, kutokuwa na jibu la swali na kutokiri kuwa huna jibu.kuna aina 3 za kujibu swali
1.swali kwa swali
2.swali kwa maelezo
3.swali kwa mkato
[HASHTAG]#mtarithisha[/HASHTAG] kizazi chenu mpaka ukamilifu wa dahari kwamba mnaonewa!
Mmh! Hii Hatari sheikh...Uzi wake huu, andika wako na wewe nikujie Pm, متكو يكو
Jamii Forums mobile app
Kama nataka kukukumbatia, nitakupata wapi? Nitumie namba yako kupitia PM tafadhali.
Hukuelewa swali au?Hakuna ndoa Kiislam kati ya mwanamme asiye Muislam na mwanamke wa Kiislam.