Kunogewa ndio kunatufikisha huku,hatareeee...Ruksa; lazima iwe ya halali, ndani ya ndoa inayokubalika Kiislam na si ya zinaa au uasherati.
Watoto wakiwa mapacha hapo inakuaje katika kufika kileleniKatika taaluma (siyo rasmi) nilizowahi kusoma ni kuwa, unazaliwa mwanamke siku mama alipopata mimba aliwahi kufika na unazaliwa mwanamme siku baba aliwahi kufika.
Vipi mapacha wakiwa wa jinsia moja? na vipi wakiwa jinsia tofauti?Draw match.
Home and away.Vipi mapacha wakiwa wa jinsia moja? na vipi wakiwa jinsia tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu hoja zaidi ya kusahihisha uandishi tu japo ujumbe umeuelewa!Jifunze kuandika vizuri. Kiswahili ni kizuri sana kikiandikwa vyema.
Rudia hoja kwa mwandiko unaoeleweka ntakujibu kama bado sijakujibu.Hujajibu hoja zaidi ya kusahihisha uandishi tu japo ujumbe umeuelewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Faiza nimekufatilia kwa muda mrefu nakuona wewe kamamwathilikawa udini .. Sijui kama unalitambua hilo?
Naomba unipe maelezo ya kina plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwathirika wa kidini naomanisha ni kutumia muda mwingi kujitanabaisha kwa kuweka upendeleo wa kidini hasa pale habari inapotokeza ikiwa imeegemea upande wa kiislamu. Kwa mfano yule Dada wa Somalia aliyepata nafasi ya uwakilishi katika Congress ya marekani unamuelezea kama mwislamu aliyepata nafasi katika cheo hicho na sio kwa namuna nyingine nahisi kunamengine mengi yafananayo nimekuwa nikikufatilia mienendo zako!mwathilika= mwathirika
Kwanza sielewi maana ya maneno "mwathirika wa udini". Nakuomba wewe unipe maelezo na utufafanulie maana ya hayo maneno yako ili tupate kukujibu. Naamini kuna wengi hawajakuelewa kama mimi.
Nitunuku asali bibieNikutunuku nini? Sina tuzo zozote nitoazo.
Mwathirika wa kidini naomanisha ni kutumia muda mwingi kujitanabaisha kwa kuweka upendeleo wa kidini hasa pale habari inapotokeza ikiwa imeegemea upande wa kiislamu. Kwa mfano yule Dada wa Somalia aliyepata nafasi ya uwakilishi katika Congress ya marekani unamuelezea kama mwislamu aliyepata nafasi katika cheo hicho na sio kwa namuna nyingine nahisi kunamengine mengi yafananayo nimekuwa nikikufatilia mienendo zako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti kikongwe kisichoshika mkongojo.Hivi wewe ni kikongwe au binti ? maana huwa unatokwa na lugha za shombo sana humu JF halafu wewe ni kama yule ISIS na Cocochanel wote hawa ni wapiga vigelegele wa CCM , kila kitu kusifia tu hata ujinga , jibu tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua huuzi,nitunuku tu basi niibusuSiuzi asali.
ABUBAKAR NI NANI KATIKA UISLAM?
nionyeshe sehemu ilipoandikwa uislam ni kujisalimisha na unyenyekevu1) Umenihukumu pasi na ushahidi. Sina chuki na binaadam yoyote yule.
Naomba nionyeshe hayo maandiko yangu yaliyokufanya wewe ufikirie kuwa nnachuki na Wakristo. Ukishindwa basi elewa kuwa umejenga hisia za chuki pasi na sababu.
Uislam ni dini ya walimwengu wote labda uwe haufahamu tu maana ya Uislam na maana ya dini.
Uislam ni kujisalimisha na unyenyekevu (submission) kwa aliye kuumba wewe na aliyeumba vyote vilivyomo kwenye ardhi na mbingu.
Jee wewe hujisalimishi na kumnyenyekea aliyekuumba?