Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

nionyeshe sehemu ilipoandikwa uislam ni kujisalimisha na unyenyekevu
Ni nini maana ya Uislamu?

Jibu:
Maana yake ni kujisalimisha kwa Allaah (سبحانه وتعالى) kwa kumpwekesha na kufuata maamrisho yake kwa utii na kuepukana na shirki kama Allaah Anavyosema:

وَمَنْ أَحْسَنُ دِينًا مِّمَّنْ أَسْلَمَ وَجْهَهُ لِلَّـهِ وَهُوَ مُحْسِنٌ وَاتَّبَعَ مِلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۗ وَاتَّخَذَ اللَّـهُ إِبْرَاهِيمَ خَلِيلًا ﴿١٢٥﴾

Na nani aliye bora zaidi kwa Dini kuliko yule aliyeuelekeza uso wake kwa Allaah naye ni mtendaji mema na akafuata Dini ya Ibraahiym haniyfaa (aliyejiengua na dini potofu akaelemea Dini ya haki). Na Allaah Amemchukua Ibraahiym kuwa ni khaliyl (kipenzi).[1]

Anasema pia:

وَمَن يُسْلِمْ وَجْهَهُ إِلَى اللَّـهِ وَهُوَ مُحْسِنٌ فَقَدِ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَىٰ ۗوَإِلَى اللَّـهِ عَاقِبَةُ الْأُمُورِ ﴿٢٢﴾

Na anayesilimisha uso wake kwa Allaah, naye ni mtenda wema, basi kwa yakini ameshikilia imara kishikilio madhubuti kisichovunjika. Na kwa Allaah ni mwisho wa mambo (yote).[2]

Na Anasema pia:

فَإِلَـٰهُكُمْ إِلَـٰهٌ وَاحِدٌ فَلَهُ أَسْلِمُوا ۗ وَبَشِّرِ الْمُخْبِتِينَ ﴿٣٤

Basi Ilaahu[3] wenu ni Ilaahun Waahid (Mungu Mmoja Pekee); basi kwake Pekee jisalimisheni. Na wabashirie wanyenyekevu.[4]

[1] An-Nisaa (4: 125)
[2] Luqmaan (31: 22)
[3] Mungu Anayestahiki kuabudiwa kwa haki.
[4] Al-Hajj (22: 34)

Chanzo: 013 - Ni Nini Maana Ya Uislamu? | Alhidaaya.com
 
Je ni kweli kuwa Prof Assad ni mtu wa swala tano?
 
hapo umetoa maana ya uislam au umesema muislam anatakiwa afanyanye nini
 
Faiza ni kweli kuwa kipindi hiki hapa nyuma kidogo ulipoadimika hapa jamvini ulikua Afghanstan na kikundi cha Islamic State ukipata mafunzo ya kigaidi?
Ugaidi ni haram katika Uislam. Hutopata mafundisho hayo katika Uislam. Kumbuka hilo.
 
uke una urefu gani /kina gani kwenda ndani?
 
Naam, ni kweli ni Muislam na wanaomfahamu na wasio mfahamu hilo lipo wazi, sijdah haipatikani bila ya kuswali na yake ipo wazi kabisa. Ma shaa Allah.
Assalam aleykum warahmatulla

Mama yangu mpenz i FaizaFoxy mimi ni kijana mdogo ambae unaweza kunizaa na kunihandle kama mwanao kiukweli nakuheshimu kama mama yangu.


Mimi nataka ushauri hapa hadharani,kuna uzi wangu huu kutaka ushauri kwa watu,ila bado sijapata kutoka kwako naomba nawe unishauri mama yangu.

Ushauri wenu,nimefikiria nimeona nirudi shule kusoma,nisomee nini wakuu? - JamiiForums



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…