Maana ya Uislam ni kujisalimisha kwa Muumba wako.Sifaham maana yake,unamaanisha Adam alikuwa muislam? Na kwanini uislam unahusishwa na mtume Muhammad ambae yeye hakuwepo tangu mwanzo? Muhammad ni nan katika uislam?
Anhaa ahsante kwa maelezo, lakini mbona Adam alikuwa he muislam wakati alikataa kujisalimisha kwa Mungu? Na hiyo Quran alipewa na nani? Mtunzi pia alikuwa ni nani?Maana ya Uislam ni kujisalimisha kwa Muumba wako.
Kama Adam ndiye mtu wa kwanza duniani basi jiulize alijisalimisha kwa nani?
Mtume Muhammad kaja miaka 600 baada ya ukristo, kapewa Qur'an ili kuweka sawa yaliyopotoshwa, kikuu bink6amini Mwenyezi Mungu ni mmoja na kujisalimisha ni kwake tu.
Huo pia ndiyo ujumbe waliokuja nao mitume wote wa kabla yake, kwa majina wametajwa 25 ndani ya Qur'an.
JibuMuhammad alivyo mwambia allah amwingize mwingizo mwema alimaanisha mwingizo gani?
Si kweli.
Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.
Uislam unafundisha:
Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.
33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Uislam upo daima. Hauna ulianza mwaka gani.Sawa sipingi unachoamini,ila kulingana na Biblia Yakobo ambae ni mtoto wa Isaka ni muebrania,jina lingine anaitwa Israeli (alipewa na malaika hili jina,linamaanisha mtu anaepigana kwa kumtegemea Mungu),alikuwa na watoto12 wa kiume ambao ndio makabila 12 ya Israeli,kwaiyo hao watoto wake ndio taifa la Israeli ya kale,kabila la Yuda ndio kabila ambalo Yesu Kristo alizaliwa ndiosababu anaitwa myahudi. Sorry uislam ulianza mwaka gani?
Simaanishi Adam au yeyote.Sifaham maana yake,unamaanisha Adam alikuwa muislam? Na kwanini uislam unahusishwa na mtume Muhammad ambae yeye hakuwepo tangu mwanzo? Muhammad ni nan katika uislam?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hizi pesa tunazozishika siku zote kwani hakuna zinazopita kwa wauza "kiti moto"?
Naam, nnaweza. Si imeoshwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ntakuja kukutega bi faiza lazima tutameet one day nakumixia ngurubee(wanaita Mxieew) kwenye dakuHizi pesa tunazozishika siku zote kwani hakuna zinazopita kwa wauza "kiti moto"?
Naam, nnaweza. Si imeoshwa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Sawa bhanaUmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Qur'an 17:110. Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo. 110According to wayahudi Mungu anaitwa Yahweh how come alipokuja Mohamed akasema anafuata Mungu wa Ibrahim na Uzao wake Kina Musa n.k Sasa kwanini aliamua Kumtungia jina jipya Mungu ya Ibrahim na kumuita Allah. Je ni ukosefu wa Adabu au Mudy alikuwa mwendawazimu furani aliyepandisha Mashetani..
Na kumpa jina la Miungu ya Kipagani kama Lah , Yasin, Samad n.k
Mod wajuaji wanadhani wanajua lugha ya kiswahili 😀
Ukiielewa maana yake halafu ukijisoma utaelewa kuwa umejipinga:Fafanua maana ya ustaaarabu na unambie kivipi nimejipinga kauli yangu