Si kila ulionalo kwenye video basi ni kweli, jisomee hapa kuhusu hizo video za ISIS:niliwaona ktk video aljaazera
najua lazma utetee c n wenzenu?Si kila ulionalo kwenye video basi ni kweli, jisomee hapa kuhusu hizo video za ISIS:
http://www.globalresearch.ca/isis-b...-staging-fake-jihadist-videos-in-2010/5399345
Shukran, nasubiri la SamiaNilipomaliza masomo yangu sikuwa na mpango wowote wa kuja kufanya kazi Tanzania kwani nilikuwa tayari nnaishi Canada kwa miaka mingi kabla na baada.
Mimi sikuolewa, tumeoana na mume wangu.
Sijawahi kutokufanya kazi toka tuoane na mume wangu mpaka nilipostaafu kazi za kuajiriwa labda breaks za hapa na pale za maternity na kuhama nchi, kazi za mume wangu zilimfanya ahamishwe mara kwa mara nchi nyingi duniani.
Nnaona hapo kwenye kuolewa na kutokufanya kazi umewa single out "wanawake wa Kiarabu" pekee. Binafsi nnawajuwa wengi wasio Waarabu ambao hawafanyi kazi baada ya kuolewa. Na kila niwaonapo nnatamani sana nami ingekuwa hivyo, kuwapa family yangu 100% ya attention yangu. AlhamduliLlah haikuwa hivyo lakini sasa najaribu kulipiza kwa wajukuu.
Kuhusu Bi Samia Suluhu ntakujibu baadae.
Unachokisoma unakielewa? Maana mwenzangu ukiniuliza nnakujibu lakini wewe nikikuuliza hutaki kunijibu na unaleta mengine.endeleen kufundishana judo na karate mdhan kuwa kuna div one za judo
Nnaogopa kuvunja sheria za nchi.
Nimeshawahi kuruka urefu wa zaidi ya meters 100 (kama sikosei ni 111) kwa kutumia kamba maalum (bungee jumping ) katika daraja la reli la Victoria, mto Zambezi mpakani mwa Zambia na Zimbabwe.
Sitosahau maisha yangu na niliapa sitorudia tena.
Hapa umepotosha ni watu wawili tofauti. Yesu wa kwenye biblia kama biblia ilivyoandikwa alizaliwa kwenye holi la ng'ombe. Na issa bin mariam alizaliwa chini ya mtende. Pitia Biblia na Quran utaona. Kama ulivyotangulia kusema kwenye huu uzi ni vizuri ukauongelea uislamu unaoujua vizuri kuliko kuongelea ukristo usioufahamu.
Na mtume akaweka msisitizo wa hili la diniVigezo vya kuoana kwetu ni:
-Kwa mali zao
- kwa uzuri wao
- kwa nasaba zao
- kwa dini zao
Jee, unakidhi vigezo hivyo ?
Hebu kwenda zako hukoKasema yeye mwanaume siku hizi mwanaume anaolewa?
Hapa umepotosha ni watu wawili tofauti. Yesu wa kwenye biblia kama biblia ilivyoandikwa alizaliwa kwenye holi la ng'ombe. Na issa bin mariam alizaliwa chini ya mtende. Pitia Biblia na Quran utaona. Kama ulivyotangulia kusema kwenye huu uzi ni vizuri ukauongelea uislamu unaoujua vizuri kuliko kuongelea ukristo usioufahamu.
Naona huko nchi za watu, ni mwndo wa Utuli na Kiyoyozi huku ukijibu maswali na hoja za wala vumbi.Ni mji uliopo jimbo la Alberta, Canada.
Jiulize, katika lugha aliyokuwa anaongea mama'ke Yesu kuna herufi "J"?
Anapowekwa ng'ombe hapawezi kuwa na mtende? Fikiri.
Pitia hapa: Jesus' name is Eesa. See detailed proofs from Aramaic, Hebrew and Arabic.
FaizaFoxy naomba unipatie majibu mujarab ya maswali haya:
- Uligraduate 1982, Bsc in electronic engineering, specialised in Telecommunications.
Naamini kwa wakati huo kulikuwa na wasomi wachache sana wa course hiyo hapa nchini.
JE: uliwahi kufikiria kuanzisha Firm yako au kuisaidia Tanzania kwa elimu yako kwa namna yoyote?
Au ulipoolewa ukaamriwa na mumeo utulie ndani na kumpikia pamoja na kumtunzia watoto kama wanawake wengi wa kiarabu wanavyoishi baada ya ndoa?
JE, Unazungumziaje uongozi wa Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke Tanzania?
Huoni kama kwa Elimu, hekima yake na huruma angefaaa kabisa pia kuwa Rais wa URT?
Je huyo Mheshimiwa ameolewa? Unaweza kutuwekea picha ya Mumewe (I also understand about privacy but she is an icon)
Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
Isa alifufuka baada siku ya tatu?
Sio wewe tu ila Watanzania waume kwa wake tunamkubali sana kwani ni talented.Kuhusu "uongozi wa Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke Tanzania?". Kwanza naoenda uelewe ni fahari kubwa kwa kila mwanamke wa Kitanzania na Bi Samia Suluhu amekuwa ni chachu ya wanawake kujiamini, si kwa Tanzania tu, bali hata nje ya mipaka yetu. Bi Samia ni mfano wa kuigwa.
Uongozi na umahiri wake nilianza kuushuhudia nilipomuona akiongoza bunge. Alikuwa anavutia jinsi anavyoliongoza bunge kwa umakini na ueledi wa hali ya juu, utafikiri aliumbiwa kuwepo pale kwenye kiti cha spika, nilikuwa nnajiuliza "kwanini huyu Bi Samia asiwe ndiye Spika wetu". Lakini ni mipango ya Allah.
Naam, kuwa Makamu wa Rais pia ni Rais. Title ya Urais ipo hapo tena kikatiba kilichoongezeka ni Makamu tu.
Soma hapa kuhusu wasifu wa Bi Samia: Wasifu wa makamu wa rais wa Tanzania Samia Hassan - BBC Swahili
Unaiamini biblia?Jiulize, katika lugha aliyokuwa anaongea mama'ke Yesu kuna herufi "J"?
Anapowekwa ng'ombe hapawezi kuwa na mtende? Fikiri.
Pitia hapa: Jesus' name is Eesa. See detailed proofs from Aramaic, Hebrew and Arabic.
nimekuuliza uhusiano kati ya kupiga punyeto na kuwa na jini mahaba?Ni ndugu hao bila kumsahau ndugu yao mwengine, anaitwa Wazimu.
Kwanini wengi wenu ni magaidi?
Kwanini bado unaipenda ccm na walikuzalisha wakakuacha?