Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Bi Faiza unaamini katika Bibilia...

Na kwanin katika mahubir yenu huwa mnarejelea bibilia... Means Quran haijitoshelezi au?.
 
Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:

DSC08684.jpg
Pamoja na elimu na uelewa wako uliamini haya, kwani alikuwa akisahihisha mitihani peke yake?
Huoni kwamba unaongozwa na mihemko ya kidini?
 
Sili nguruwe.

Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao”(Walawi 11: 7 – 8)

Vipi, wewe unakula nguruwe ilhali aya hiyo ya Biblia imekataza tena inasema wazi kabisa kuwa ni najisi?

Hata ngamia, sungura na kambale kakatazwa ninyi mbona mnakulaga???
 
Nilifikiri niulizwe chochote.

Swali lako la pili, pitia hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Naomba niwie radhi bi mkubwa, mara nyingi nimekuwa nikikuchukulia kama msichana tu, hata maswali nilouliza sikujua namuuliza nani, nimeona kwenye moja ya comments zako kuwa kwa sasa uko unalea wajukuu, kwa kweli nimejisikia vibaya sana kwa swali moja nilokuuliza ambalo halikustahili, naomba radhi yako.
 
Muislam hafanyi kazi ya Mungu,

Na hilo si kwa Waislam pekee, tunaona hata kwa wasio Waislam wanachukua hatua kali kwa kushafiwa wao.

Ukiona mtu anakashifiwa Mungu wake na yeye anachekelea tu ujuwe huyo hana imani na Mungu wake.
=kukashifiwa.
 
Mbona maandiko yako wazi kabisa kuhusu vyakula?
View attachment 431838 Au una sababu nyingine tofauti na ya kimaandiko?


Sasa kijana, najisi unaiingiza makusudi mwilini mwako?

Maana ile aya inasema nguruwe ni najisi wala msimguse na aya hiyo uliyoileta Yesu Alayhi Salaam, anasema "kimuingiacho mtu", Hivi kweli Yesu atakuja kusema ingiza najisi mwilini mwako kutengua sheria za Taurati ambazo zimesema "Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu."

Hebu msome Yesu Alayhi Salaam mistari michache kabla ya huo uliouweka anasema nini, hapa:

Mathayo 15:
7 Enyi wanafiki, ni vema alivyotabiri Isaya kwa habari zenu, akisema,
8 Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.

Halafu msome hapa anachosema:

Mathayo 5:
17 Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.
18 Kwa maana, amin,
19 Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.


Vipi kijana unavunja amri ya Taurati ambayo hata Yesu, Alayhi Salaam, mwenyewe anasema ukivunja hata moja utaitwa "mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni..."

Nnakusihi usifate mafundisho ya watu, fata kitabu chako na In sha Allah kuna siku utaiona nuru.
 
Hapana, si mimi, huyo ni Lisa Valentine na nimempenda sana msimamo wake nilipokisoma kisa chake, jisomee:

Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court
In the past eight days, a judge in Georgia has sparked controversy after barring two Muslim women wearing Islamic headscarves from entering his courtroom, and landing one of them behind bars. Now, he has prompted an inquiry from the civil rights officer at the U.S. Department of Justice.

Judge Keith Rollins of Douglasville, Georgia reportedly ordered 41-year-old Lisa Valentine to jail after she refused to remove her scarf before entering the courtroom. Judge Rollins pointed to rules that governed appropriate dress as listed by the state.

This is not the first time Rollins had made the controversial call. Last week, Sabreen Abdulrahmaan was forced to leave his court before her son’s probation hearing because she would not remove her scarf.

Valentine was handcuffed by security and sentenced to 10 days in jail when she declined to defend her actions at the security checkpoint, her husband Omar Hall reports.

“It’s an issue of religious freedom,” Ibrahim Hooper, a spokesman for the Council on American-Islamic Relations old reports. “It’s an issue of access to the American legal system.”

Soma zaidi: Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court - World Politicus
Maashalah Lisa mzuri.
 
Hakufa atafufukaje? Jisomee:

Biblia inasema hivi,

"Yesu alipokuwa akiishi duniani, alitoa dua na maombi kwa kilio kikuu na machozi kwa Mungu ambaye angeweza kumwokoa na kumtoa katika kifo, naye Mungu alimsikia kwa sababu alikuwa mnyenyekevu na mtiifu" (Waebrania 5:7)

Bible inatuambia kila aliyetundikwa msalabani amelaaniwa na mungu.
Katika kumbukumbu la Torati 21:23, Mungu anamwambia Musa kwamba mtu " aliyetundikwa katika mti amelaaniwa na Mungu".

MSIKILIZENI MUNGU.
Katika kumbukumbu la taurati 24:16, anasema nini:"mababa wasiuwawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya dhambi za baba zao.KILA MTU AUWAWE KWA DHAMBI ZAKE MWENYEWE"

Biblia pia inasema:

Numbers 23:19"God is not a man, so He does not lie. He is not human, so He does not change His mind. Has He ever spoken and failed to act? Has He ever promised and not carried it through?"

Quran tukufu inasema hivi,"Na kwa kauli yao kuwa: ‘Tumemuua Yesu mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu’. Hakika ni kuwa hawakumuua wala hawakumsulubu, lakini walishabihishiwa kwao. Wale wanaotofautiana katika hilo wako katika shaka wala hawana ilimu ya uhakika kuhusu hilo, wanafuata tu dhana. Hakika ni kuwa hawakumuua".
"Bali Mwenyezi Mungu Alimnyanyua Kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima". [An-Nisaa: 157-158]

Soma zaidi: Wakristo Njooni Kwa Mungu: Yesu hakusulubiwa, Mwenyezi Mungu alimwokoa.

Duh mapya haya

Hii itakuwa bibilia ya Syria imeandikwa na ISIS
 
Unatetea maswahiba


Kwenye post namba 556, nilijibu hivi:

Kuwa "open minded" na usiwe na chuki za kupandikizwa ambazo huna ushahidi nazo, utaishi vizuri na watu duniani.


Ukiisoma hiyo link niliyokuwekea utaona kuwa CIA wenyewe wanakiri, sikuongeza langu hata moja, sasa nnaetetea ni mimi au CIA? Fikiri.


Nnaomba nijibu hilo swali langu, mstari wa mwisho nilipo bold.
 
Sasa kijana, najisi unaiingiza makusudi mwilini mwako?

Maana ile aya inasema nguruwe ni najisi wala msimguse na aya hiyo uliyoileta Yesu Alayhi Salaam, anasema "kimuingiacho mtu", Hivi kweli Yesu atakuja kusema ingiza najisi mwilini mwako kutengua sheria za Taurati ambazo zimesema "Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu."

Hebu msome Yesu Alayhi Salaam mistari michache kabla ya huo uliouweka anasema nini, hapa:

Mathayo 15:
7 Enyi wanafiki, ni vema alivyotabiri Isaya kwa habari zenu, akisema,
8 Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.

Halafu msome hapa anachosema:

Mathayo 5:
17 Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.
18 Kwa maana, amin,
19 Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.


Vipi kijana unavunja amri ya Taurati ambayo hata Yesu, Alayhi Salaam, mwenyewe anasema ukivunja hata moja utaitwa "mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni..."

Nnakusihi usifate mafundisho ya watu, fata kitabu chako na In sha Allah kuna siku utaiona nuru.

Acha ubwege

So we unaishi torati Ya Moses

Yaani mtu uache kula nguruwe kwakuwa ni najisi kwa waislamu

Huo utakuwa wehu

Kila kimtokae mtu ndo najisi na si kiendacho kinywani

Acha kupotosha

Don't compare kuran na bible
 
Duh mapya haya

Hii itakuwa bibilia ya Syria imeandikwa na ISIS

Hapana, si "mapya", Biblia ya Syria itakuwa imeandikwa Kiarabu, kwa hiyo si ya Syria. Unaweza kuzifata hizo references.

Nnajuwa unayaona "mapya" kwa kuwa hujafundishwa biblia yako ipaswavyo na ndiyo huwa nawaaambia huwa "mnasomea ujinga".

Anza kwa kujisomea kwa roho kunjufu bila kuwa biased na In sha Allah kuna siku utaiona nuru iliyoondelewa kwako na ukafunikwa na kiza cha ujinga.

Pole sana.
 
Back
Top Bottom