Taaluma yako ni ipi?
Nnaota kwa lugha zote mbili hizo. Kumbuka, kama huoti kwa lugha uijuayo basi huijuwi vizuri.
Aslam aleikum muislam mwenzangu na ndugu yangu kiimani.Ni na maswali kama matatu hivi la kwanza wewe ni mfuasi wa ccm chama tawala moja ya ahadi zenu nikupiga vita rushwa swali zile milioni kumi zilitoka wapi na wabunge walipewa kwa kwakazi gani? Swali la pili muheshimu anatumia nguvu nyingi sana kukandamiza Uhuru wa kukosoa kwa maana ya kutoa maoni,kupiga marufuku mikutano ya hathara ambayo inatusaidia sisi wanachi wakawaida kujua mapungufu ya serikali pamoja na kutoonyesha bunge live swali ni ya mh kufanya yote hayo kwa nguvu kubwa paka kutoa milioni kumi kwa wabunge ni IPI? Tatu mlituaidu ajira mh kasema uwakiki ulikuwa miezi miwili imesha imepita mda lakini paka Leo ajira hamna mikopo ya wanavyuo kizungu mkuti nini tatizo linalokwamisha?General Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Tanabahi: Ukiuliza utumbo ntakujibu utumbo.
Je Trump ndio kiboko chenu nyie magaidi wa kiislam?
Hili sio jibu sahihi kwasababu nahisi kuna chembe chembe za udini...Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
Talaka inakombolewaje?A,aleukoum,nauliza mama,nilioa,baadae mke akadai talaka,nikamwambia afuate utaratibu,yaani aikomboe talak,nikampa,sasa anadai turudiane,alishawishiwa tu,kidini inawezekana kurudiana?
Je? kweli wewe ni wa jinsi ya Ke?
Una kiwango gani cha Elimu?
Kuna nyakati huwa unaaongelea mambo ya zamani miaka ya 50 -60 ulkuwepo? Au ni simuliz??
NB Unafkir nini kifanyike kuboresha Elimu? Zote za kisekula na kidini
Naomba ufafanuzi kwenye hili mkuuKaatika taaluma (siyo rasmi) nilizowahi kusoma ni kuwa, unazaliwa mwanamke siku mama alipopata mimba aliwahi kufika na unazaliwa mwanamme siku baba aliwahi kufika.
ABUBAKAR NI NANI KATIKA UISLAM?
exactly,haiwezekani mtu kufelisha watu wengine,haiingii akilini.Hili sio jibu sahihi kwasababu nahisi kuna chembe chembe za udini...