wewe the book ebu angalia taswira nima kwa sasa ya wizara ya elimu huyu mama hafai mimi ni mkristu ila kwa kwer huyu mama fitina zake ana mengi ya kuya jibu baada ya umauti wake je ni haki kuwabadilishia ufaulu vijana wa kidato cha sita baada ya mtihani si haki hata sekunde pili swala la mikopo ana ruka ruka tu kwa hili namuunga mkono kabisa faiza foxy juu ya figisu zake pale necta ila atmbue kila kitu kina mwisho wake ........Ufaulu unaletwa na NECTA??
ebu leta ushahidi kuwa wanafelishwa na NECTA.
na sio kutumia itikadi.