In the Qur'an we have a complete surah (chapter) on Children of Israel, called Al Isra or Bani Israel, besides, we have many other verses in the Qur'an which mentions Children of Israel.
We strongly advise you to read the said surah (Surah Al-Isra [17]) and you may also want to read the following verses on Children of Israel; Quran Index - Children Of Israel
Hahaha nimeandika mwenyewe, na hiyo ni "we" ya heshima. Utamu wa lugha.
Kwa kuweka taarifa sahihi kwa ndugu yangu, malikia wa Uiengereza pia hutumia "WE THE QUEEN OF ENGLAND" ingari yeye yu mmoja. Maana ya "WE" ni sisi na maana yake kutokuwa na ubinafsi.Hahaha nimeandika mwenyewe, na hiyo ni "we" ya heshima. Utamu wa lugha.
Achana nao hao wanaropoka hawajui nini kinaendeleaMmeshawahi kuishi na jamii za Kiislamu hususani wa huku bara? Kama ndiyo... kutoka ndani kabisa ya moyo wenu huku mkifahamu Mungu anawaona.... kati ya vijana 10 wa Kiislamu uliokuwa unawafahamu; ni wangapi walikuwa wanasoma madrasa wakati wapo secondary school? Au angalau mnaweza kusema ni wangapi kati ya vijana wa Kiislamu 10 mnaowafahamu walikuwa wanasoma madrasa wakati wapo darasa la 5 hadi la 7?
Dada Faiza nashukuru sana kwa ushauri.....Nairekebisha sasa hivi. Thank you very much!Nnakushauri ukiandika jambo la kihistoria tena kubwa kama la "impeachment" ujitulize na ufanye utafiti japo kiduchu kuliko kukurupuka na kuleta vitu vya kudhani.
Faidika na darsa la FaizaFoxy wa JF.
Rais Richard Nixon wa US hajawahi kuwa "impeached". Marais wa US waliowahi kuwa "impeached" na baraza la wawakilishi la US (House of Representatives) ni Rais Andrew Johnson na Rais Bill Clinton na wote wakaonekana na seneti (Senate) kuwa hawana hatia na kuendelea na kazi zao. Richard Nixon aliachia madaraka (resigned) kabla hajawa "impeached".
Ni tofauti kabisa hata siku moja usimfananishe Issa na Yesu utakuwa unakosea sana.
Jesus' Original Name:
Prophet Jesus' original name was Isa (eesa) as shown below. Even in Latin, it is Iesu, and in Greek it is Iesus. In Arabic, it is Isa (eesa). It is literally pronounced as Eesa in Arabic. There is a great deal of evidence that Jesus spoke and preached also in Arabic. Not only that, but Greek wasn't even that popular in Palestine.
Very strong evidence that Jesus also preached in Arabic:
See the clear proofs here:
- Proofs that early Christian believers' title was MUSLIMS from the Jews' and Christians sources themselves. Also, Greek wasn't even the first language in Palestine, nor was it even hardly spoken by the natives there.
- Also, ample proofs that Jesus also spoke and preached in Arabic, and there were many early manuscripts written in Arabic that spoke about the coming of Prophet Muhammad in details.
Si yeye ni watu humuuliza hayo maswali ya "UDINI UDINI" yeye amesema muulizeni maswali yenye mashiko ninyi mmekalia udini. Poor Tanzanian.We mama
Mbona huwa unapenda sana udini udini???
Soma post namba moja, kisha uliza swali upendalo lisilo la "udini udini". Ukumbi ni wako.
Unaboa
hadi hili kajujibu ..le madame nomaUnaboa
Ufumbuzi wa tatizo hilo ni salat na kumcha Mwenyezi Mungu.Hivi ni kwa nini Wanawake hupenda sex kama huwa hawafiki kileleni kwa urahisi? Kwa maana mimi kama Mwanaume nafanya sex tu kwa kuwa najua kwamba nitafikia kilele vinginevyo nisingefanya, sasa kwa nini Wanawake hupenda sex ili hali hawafiki kileleni? Tena wengine hupenda hata kusex na Wanaume wengi kwa wkt mmoja kitaani tunaita mtungo, sasa ni kwa nini kama hawafiki?
Makosa ya wazazi yanaanzi kwao wenyewe. Allaah anaamrisha watu waziokoe nafsi zao kwanza kabla ya watu wengine. Wazazi wengi hawana misingi ya malezi bora wala hawakuipatiliza dini. Msingi wa kupata mtoto mwema ni mchanganyiko wa malezi bora yanayozingatia values za kijamii na kufuata dini kwa kumfunza akiwa mdogo na kumuombea dua kwa muumba wake. Malezi mema yanakulazimisha usiweke TV nyumbani ambaye ndiye mwalimu mkuu wa watoto kuanzia kuzungumza kuvaa kula kutenda n.k. na kumuweka mbali na miziki n.k. je unaona vijana wetu jinsi wanaelekea kwenye ushoga taratibu?? Huoni vijan wadogo wakivaa suruali chini y makalio wanataka nini?watu wakishaona makalio yao wawafanye nini? Mzungu katufukisha hapo. Mzazi akiwa hovyo watoto pia watakuwa hovyo tu. Malezi bora yanataka mzazi awe anAwafuatilia watoto na anakuwa pamoja nao anayajua mahitaji yao ya kiakili na kimwili na anawasaidia kuepuka vikwazo. Mtoto aanze kusoma dini mdogo na asiache mpaka anaachana na mzazi wakeAhsante bi Faiza,nimekufatilia mwanzo mwisho vitu vingi nimejufunza sana.umejaribu kujibu hoja zako vizuri kwa quote na reference za kutosha aliekuwa na lengo la kujifunza.swali langu ni kama ifuatavyo
1.wewe kama Faiza unahisi wazazi wanakosea wapi kwenye malezi na imekua vigumu sana hasa kwa sasa kuwa na watoto wenye uwezo hata wa kujielezea wenyewe hasa watoto wa kike wapo lakini kama hawajui kwa nini wapo hapo
2.nini kilikufanya ukafika hapo ulipo unauwezo flani binafsi sitaki kuueleza
3.nini unakifanya kuhakikisha mikoba yako/madini yako unayarithisha hasa kwa jamii inayokuzunguka yasiwe yanaishia
4.Unahis umma wa Kiislam unakosea wapi kwa sasa na kuleta image isiofaa kwa jamii na tabia chafua ambazo uislam haujatufunza