Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Developmental Perspective Research ni dhanna ya tafiti za kuelewa/kumfanya binaadam kuanzia utotoni akuzwe/akuwe kwa kujengwa kwa kina cha tafiti.

Tafiti zinaendelea kila kukicha na "papers" nyingi zimeandikwa kuhusu hayo.

Miaka ya nyuma huko China walikuwa na dhanna na walienda mbali zaidi katika tafiti hadi kufikia kuweka vituo vya kulelea na ili kutimiza na kutaka kujenga taifa lenye maendeleo ya kila aina wakabuni vituo vya kulelea watoto na kuwakuza na kuwajenga vile walivyopanga.

Mfano, "forecasts" zilipoonesha kuwa miaka 25 ijayo watahitajai wahandisi kadhaa, madaktari kadhaa, madereva kadhaa, wakulima kadhaa...

Basi walichukuliwa watoto wangali wachanga na kuanza kulelewa kuwa mkulima amma mhandisi na kadhalika, katika kituo mahsusi, basi kuanzia michezo yake, maongezi yake, mafunzo yake, watu wanaomzunguka yote yanaongelea kilimo tu, hali kadhalika kwa dereva, mhandisi, rubani na wengineo. matokeo hayakuwa mema sana.

Nchi za magharibi wao approach yao ni ya "on going research" kwa hayo, na kuzitumbukiza hizo researches (tafiti) katika maisha ya kila siku ya kuanzia mtoto anapozaliwa. Hakuna njia mojawapo bali ni mchanganyiko wa tafiti.

Unaweza kusoma zaidi hapa: Developmental Perspective: Definition & Explanation - Video & Lesson Transcript | Study.com

Napenda pia kukujulisha kuwa Uislam umeongelea kwa kina na umeainisha malezi na makuzi ya wototo miaka 1,400 iliyopita na hakuna hata mmoja katika wakosoaji wote wa Uislam aliyepinga namna ya malezi ya watoto yanavyofundishwa Kiislam. Soma zaidi: http://www.reviewofreligions.org/11414/parenting-child-development-an-islamic-perspective/
Asante sana Faiza!
 
Hahaha duuuh we si kiboko ni kitembo.asante kwa ulivyomjibu
Usilolijua ni usiku wa kiza.usikujua kama una uelewa kiasi kama hichi.hongera sana ALLAH akuzishie .kama mtu anataka kukutembelea unaruhusu?na jee unapatikana wapi?natamani nipate ushauri kutoka kwako kuna mambo yamenisibu mjukuu wako.natanguliza shukran kwako
 
Hivi Alla (Molla) unayemwamini amekuwa dhaifu kiasi cha kuhitaji msaada wetu wanadamu kupigana kwa ajili yake?

Hivi Molla (Alla) unayemwamini hana REHEMA (hasamehe wanadamu).

Ahsante

Wewe sio wa kwanza kuuliza swali hili hata makafiri wa zamani waliliuliza yenye kufanana na hivyo soma hapa

Na wanapoambiwa:
“Toeni kutokana na vile Alivyokuruzukuni Allaah.” Husema wale waliokufuru kuwaambia wale walioamni: “Je, tumlishe ambaye (Allaah) Angelitaka Angelimlisha? Nyinyi hamumo isipokuwa katika upotofu bayana.” 36:47

Lakini Allaah sifa yake kuu ni inatajwa katika quran sura ya 85 aya ya 16 kuwa yeye ni
"Mwingi wa kufanya atakalo/apendalo"

Na kwa hiyo yeye kama ilivyokuja katika sura ya 21 aya ya 23 kuwa

"Haulizwi (Allaah) kwa yale Anayoyafanya, lakini wao wataulizwa".

Nikukumbushe tu alipotaka kuwaangamiza watu wa Nuhu aliwaangamiza bila ya kumwaambia Nuhu apigane na hivyohivyo Firauni aliangamizwa na jeshi lake bila ya vita bali maji tu yaliwaangamiza.



Hivi Alla (Molla) unayemwamini amekuwa dhaifu kiasi cha kuhitaji msaada wetu wanadamu kupigana kwa ajili yake?

Hivi Molla (Alla) unayemwamini hana REHEMA (hasamehe wanadamu).

Ahsante

 
General Knowledge.

Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.

Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.

Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.

Update 1:
Tafadhalini tuulize maswali kiheshima . Heshima ni kitu cha bure na hii JF yetu pendwa inasomwa na wengi, tujiheshimu.

Update 2:
Siku kadhaa zimepita toka tuanzishe uzi huu na nimesikitishwa na aina ya maswali yanayoulizwa kwenye huu uzi.

Tumetowa fursa ya kuulizana na kila niwezapo kujibu au kutafuta majibu muafaka kutokana na hayo maswali na fursa ya wachangiaji kujibu maswali yatakayojitokeza ya "general knowledge" lakini hadi hii leo ni maswali machache sana yenye faida kwa wengi yameulizwa. Maswali yaliyojaa ni amma ya kutaka kuanzisha ubishi "ligi" na amma yamelenga mtu binafsi, hususan amelengwa mleta mada. Ni masikitiko makubwa sana.

Nnawashauri wote waliouliza maswali yenye kulenga binafsi na wale waliouliza maswali yenye kubomoa badala ya kujenga wabadilike na waanze kuuliza maswali yenye kujenga, kuelimisha, kutujaza hekima na maarifa.

Nilipoweka aina ya elimu niliyoisomea nilidhani ntakumbana na kibano kikali kuhusu hilo na nijibu ili iwe faida kwa wengi lakini kwa bahati mbaya au nzuri hakuna hata mmoja aliyeuliza swali lolote kuhusu hilo.

Isitoshe, mna fursa ya kuuliza kuhusu chochote. Ndege, mimea, dunia, sayari, nyota, maajabu, maswali yasiyokuwa na majibu, viumbe kwa ujumla vinavyojulikana na visivyojulikana, maajabu ya duniani, elimu na vitu vingi kama hivyo na vinginevyo.

Nnauhakika wale walioleta maswali ya kiajabu ajabu ya ubishi wana mengi sana ya kuuliza yanayoweza kuwapa faida wengi na kuna wengi kati yao wana mengi wanayajuwa na wanaweza kuchangia kwenye majibu kwa faida ya wengi.

Ombi langu kwa wote ni tuboreshe aina ya maswali na majibu.

Karibuni.
tulia dawa iingie bibi
 
Na waja wa Ar-Rahmaan; Mwingi wa rahmah ni wale wanaotembea katika ardhi kwa unyenyekevu na upole, na majahili wanapowasemesha (maneno ya kijinga, wao husema: Salaam!
 
Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:

DSC08684.jpg
Kunaweza kufanyika makosa kwa bahati mbaya lakini siamini juu ya necta kufelisha kwa makusudi kundi fulani la watu.
 
je ni kweli watanzania hatupendi kutaja umri kwa sababu umri haushabihi mafanikio?
 
As-salamu alaykum FaizaFoxy

1. Je unapenda kusoma vitabu kwa muda wako wa ziada?

2. Iwapo jibu ni ndio; Je ni vitabu gani japo vitatu vilivyobora na ungependa na wengine wavisome? - ukiacha vitabu vya dini

3. Je una lipi la kuwaambia vijana wa sasa wasio na tabia yakujisomea vitabu.
 
BI.FOXY,NIMERUDI TENA "MZEE WA KUANDIKA KWA HERUFI KUBWA" KESHO NITATOA DARASA KWA WANAOTAKA KUTAJIRIKA KWENYE MCHEZO WA KAMARI AINA YA "KENO" KWANI KAMARI INA IDADI KUBWA SANA YA WAFUASI THIS TIME....NAKUSHAURI TUJUMUIKE KWA PAMOJA KATIKA DARASA LANGU NA NITARUHUSU MASWALI MBALIMBALI ....karibu bi.foxy
 
Back
Top Bottom