Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Sijda tu-sahwi kma nimesahau kuileta kabla ya salam au baada ya salam, nimuda gan ambao nikiikumbuka inatakiwa kuileta?
 
Sina hakika hasa nia yako ninini. Lakini fahamu tu kuwa kufanyika mbele ya kadhi ni kwakuwa mume wakati mwingine hugoma kutoa talaka hivyo inabidi alazimishwe na kwamba sheria inamshauri mume kuwa kama akiamua kusamehe hiyo mahari ni bora zaidi
 
Sijda tu-sahwi kma nimesahau kuileta kabla ya salam au baada ya salam, nimuda gan ambao nikiikumbuka inatakiwa kuileta?
Sijdatu sahw ina sababu zake kuu tatu moja kama umeongeza kitu katika swala mbili kama umepunguza na tatu kama umepatwa na shaka katika swala. Hivyo swali lako halikukamilika kuwa specific. Nadhani mengine ni bora ukauliza inbox ili uzi usigeuke matumizi yaka
 
Kajirutaluka

Mwanamke wa Kiislam ana haki ya kumpa mwanamme talaka kupitia kwa kadhi kama mnae na amma kupitia masheikh au jamii ya Waislam (panel) pasipo na kadhi.


* hiyo id yako inauhusiano na talaka?
 
Kuna baadhi ya post sijui zinafutw au inakuwaje kuna swali niliuliza halikujibiw. Lilikuwa post# 1195 nimetafuta feedback nimekuta post ile ina swali jingine la mtu mwingine.
 
Kuna baadhi ya post sijui zinafutw au inakuwaje kuna swali niliuliza halikujibiw. Lilikuwa post# 1195 nimetafuta feedback nimekuta post ile ina swali jingine la mtu mwingine.
Kuna post ZENYE kebehi na matusi Moderators wametumia busara kuzifuta kwa hiyo namba zimebadilika itafute post yako utaipata na pengine utakuta imejibiwa, kama bado uliza tena na pole kwa usumbufu.
 
dada faiza ni changamoto gani ulokutana nazo ,ikizingatiwa fani uloisoma huwa ni tafu sana na wengi wao ni watoto wa kiume. unahisi Tanzania tunashindwa nini ili kuweza kufika mbali kielimu ili kuwa na wataala competent?
 
Kajirutaluka

Mwanamke wa Kiislam ana haki ya kumpa mwanamme talaka kupitia kwa kadhi kama mnae na amma kupitia masheikh au jamii ya Waislam (panel) pasipo na kadhi.


* hiyo id yako inauhusiano na talaka?
Mwanamke hawezi kutoa talaka. Bali anaweza kudai talaka.
Ikiwa mume atagoma kutoa basi suala hilo huenda kwa qaadhwi.
Kitakachofanyika ni mke kueleza sababu za kudai talaka na qaadhwi atajitahidi kwa jinsi atakavyoona. Ikiwa itashindikana basi mume atatakiwa kutoa talaka kwa mke kurejesha mahari(khuluu) au qaadhwi kuivunja hiyo ndoa(faskhi)
 
Kajirutaluka

Mwanamke wa Kiislam ana haki ya kumpa mwanamme talaka kupitia kwa kadhi kama mnae na amma kupitia masheikh au jamii ya Waislam (panel) pasipo na kadhi.


* hiyo id yako inauhusiano na talaka?
Swali la mwanzo limejibiwa vizuri. Hakuna suala la mwanamke kutoa talaka bali mume lkn naye anabanwa na sheria. Kama wanawake wangekuwa ndio wanaotoa talaka nadhani tungekuwa wanaume wote tumeshaachwa siku nyingi.

Id yangu ni mjumuiko wa majina yangu ya home na na neno la kilugha haina uhusiano na talaka
 
FaizaFoxy nisaidie pa kuanzia kumsaidia kaka yangu,

Alipendana sanaa na binti wa kiislam na mama wa binti anampenda sana broh (Mkristo)

Kaka yangu alimsomesha huyu binti (namwita shem mpaka kesho) ada ya 2nd na 3rd year chuoni.

Kaka amejipanga kupeleka mahari upareni ghafla mwezi wa 6 Baba wa binti akamtafutia binti yake mchumba wa kiislam na wakaoana.

Alikuwa anamtishia binti kuwa akiolewa na Mkristo basi baba yake hatomtambua tena kuwa ni mwanae na hata salamu asimpe mpaka aingie kaburini

Sasahv binti anataka hata leo aridi kwa kaka yangu.

Hiyo ni Haki kweli? Ni jambo la Busara?

Cc: Babu na mjukuu
 
Katika taaluma (siyo rasmi) nilizowahi kusoma ni kuwa, unazaliwa mwanamke siku mama alipopata mimba aliwahi kufika na unazaliwa mwanamme siku baba aliwahi kufika.
Haya mambo wewe hupaswi kuyajua wewe ufahamu wako umeanza baada ya kuzaliwa yaliyotokea kabla ya hapo hadi wewe ukapatikana hupaswi kuyachimbua kabisa ndiyo sababu mtoto akizaliwa huwa hana ufahamu wala kumbu kumbu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…