Hili sio jibu sahihi kwasababu nahisi kuna chembe chembe za udini...
Njia nyepesi ya kukomboa Talaka ambayo weengi huifanya ni kufanya tendo la ndoa! Yaani ukifanya tendo La ndoa na mwanaume aliyekupa talaka unakua umerudiana nae automaticallyTalaka inakombolewaje?
exactly.Mimi siamini kama ufaulu unaletwa na NECTA ila nafahamu NECTA ni waratibu wa mitihani Wanasimamia utungaji, ufanyaji wa mitihani hiyo (kwa kushirikiana na baadhi ya walimu na askari polisi) , usahihishaji (hapa ni baadhi ya walimu wanahusika pia) na utoaji wa matokeo
Kwaiyo kwa maana nyepesi NECTA hawana mamlaka ya kuleta ufaulu maana hata wao hawashughuliki nao
Majibu mujarabu, sasa, hawa wanaochinja watu na kuvamia wengine kwenye Biashara za m-pesa na kuwapora na kuwaua huku wakidai ni ibada wanatumia kitabu gani na aya zipi?Si kweli.
Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.
Uislam unafundisha:
Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.
33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Ulichojibu ni Yale yale ambayo tumeyazoea kutoka ktk midomo yenu kua mlifelishwa makusudi kwasababu ya Imani yenu kwamba hawataki msome sn.Hilo ndilo jibu langu, kama unaliona si sahihi nnaomba lisahihishe, weka jibu sahihi kwa swali lililoulizwa.
Kuhusu "udini", nnaomba kasome hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Kumbe msomi mzuri.Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
ukifungua account ya dolla au pound nikawa naweka dola 100 kila mwezi kwa muda wa miaka mitano je unaamini dola itashuka au shilingi itapanda thamani? na nikapata faida?Hayo ni maoni yako na mimi siwezi kuyaingilia, upo huru. Lakini ungeweka ushahidi wa hiyo "kufosi" ingekuwa raha kweli.
Faiza acha kumshutumu Ndalichako kuwa ni sababu ya kufeli kwa waislamSina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
Una uhakika hayo maswali yanamuhusu Faiza Fox?Aslam aleikum muislam mwenzangu na ndugu yangu kiimani.Ni na maswali kama matatu hivi la kwanza wewe ni mfuasi wa ccm chama tawala moja ya ahadi zenu nikupiga vita rushwa swali zile milioni kumi zilitoka wapi na wabunge walipewa kwa kwakazi gani? Swali la pili muheshimu anatumia nguvu nyingi sana kukandamiza Uhuru wa kukosoa kwa maana ya kutoa maoni,kupiga marufuku mikutano ya hathara ambayo inatusaidia sisi wanachi wakawaida kujua mapungufu ya serikali pamoja na kutoonyesha bunge live swali ni ya mh kufanya yote hayo kwa nguvu kubwa paka kutoa milioni kumi kwa wabunge ni IPI? Tatu mlituaidu ajira mh kasema uwakiki ulikuwa miezi miwili imesha imepita mda lakini paka Leo ajira hamna mikopo ya wanavyuo kizungu mkuti nini tatizo linalokwamisha?
wAPEMBA VIPANGA. I KONW THIS FOR A FACT.Faiza acha kumshutumu Ndalichako kuwa ni sababu ya kufeli kwa waislam
Waislam wanafeli kwa upumbavu wao wa kujali elimu Akhera zaidi na kupuuzia elimu Dunia, mtoto wa kiislam yuko tayari akakeshe Madrasa usiku mzimaa au akakeshe kwenye maulidi lakini si kukesha kujisomea (baadhi ambao ni the Most) Mfano mzur hapa kwetu ni kule visiwani Pemba watu wengi hawajasoma kule japo karibu woote ni waislamu halikadharika pwani pia, kwaiyo kufeli kwa Waislamu wala halikua ni jambo la Ndalichako na tunakuomba kama wewe ni Muislam safi futa hizo kauli kuwa NECTA chini ya Ndalichako ilikua ikiwahujumu waislamu, Kwanza NECTA haina jukumu hilo la kuweza kuwahujumu maana kazi ya NECTA ni kuandaa mitihani (Ambayo hufanywa na dini zote na hata waso Dini) Kusimamia shughuli nzima za ufanyaji wa Mitihani (hapa hushirikiana na baadhi ya walimu +Polisi kwa ajili ya usalama), usahihishaji wa Mitihani (hapa pia baadhi ya walimu huusika +usalama wa Taifa) na utoaji wa matokeo haya kwa mtililko huo tuambie ni wapi Ndalichako anaweza kuingiza kwato zake na kuwchukia Waislam na kuwapangia matokeo ya peke yenu mabaya mabaya mabovu mabovu!
NI DHAMBI KWA MTOTO WA KIISLAM KUONGEA VITU VYA UONGO USIVYO NA UHAKIKA NAVYO, LAKINI KUBWA ZAIDI KUONYESHA CHUKI ZA WAZI WAZI JUU YA MTU FULANI KUTOKANA NA JINA LAKE Joyce Ndalichako.
Usiongozwe kwa mabango ongozwa kwa fact , siku zote mtu aliyeshindwa hutafuta mchawi wa kumtupia zigo la kushindwa kwakeUnafikili kwa kutumia ubongo kweli,the logic there ni equality..soma ata hayo mabango ujielimishe