FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #161
FaizaFoxy kwa nini wapenda kuumbua watu haswa wanapokosea kiswahili?
unaffikiri ni kwa nini wanajamii forum wanapenda kukushambulia haswa kwenye swala la udini?
kwa nini wewe ni mkali?una stress?how old are you?
Kuhusu swali lako la kwanza, pitia hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
Kuhusu swali lako la pili, sijayaona hayo mashambulizi, mimi huona mijadala inakuwa mikali kwa sababu nnayowaeleza yanawaingia. Na huwa hawataki kuusikia huo ukweli wana "panic". Ukweli unauma.
Mimi si mkali. Waulize wana JF wa siku nyingi wananielewa.
Sina stress.
Hilo swali lako la mwisho, pitia hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa