Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi darasani kasome dini yako vema mkuu.Well said labda mkuu unadhani siifahamu vyema nini maana ya janaba ngoja nikupe haya kwa kifupi sana -Janaba ni hali ya mwanamme au mwanamke kutoa maji (manii) katika uchi wake, hii yaweza kuwa kwa njia ya kuota ndoto au kujichezea chezea au kufanya mapenzi na mwenza wako
Je Mkuu balehe umeipata Leo!? Bila Shaka si Leo na kama ndivyo basi kwa kipindi kirefu sana umekua ukitembea na janaba, na umekuja kujifunzia hapa kwa Faiza, kama ndivyo ulikua ni mchafu usiyefaa Mbele ya Allah na ulikua hutekelezi ibaada zote ulizotakiwa kuziteleza na kama ulikua ukizitekeleza basi zilikua hazi swihi
NB. Usikimbilie kuoa au kuolewa bila ya kudodosa dodosa mafunzo ya ndoa si kila ndoa ya kiislam basi bibi na bwana harusi huwa hawapati mafunzo wengine tulipata na tunashukuru Yalitusaidia
Unamzungumziaje Aboubakar Shekau,aliyekua kiongozi wa kundi la bokoharam?Abubakar wapo wengi, lakini kama unamaanisha Abubakar Abdallah Bin Quhafah As-Siddiq, huyu alikuwa ni swahaba na baba mkwe wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam kwa Bi Aisha na pia alikuwa Muislam wa kwanza kutangaza wazi Uislam wake wakati wa Mtume nje ya familia ya Mtume.
Licha ya hayo, pia alikuwa ni mshauri muaminifu wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam na kaja kuwa kiongozi mkuu (khalifa) wa Waislam wa kwanza baada ya Mtume.
Mimi na wewe nani anastahili akasome vizuri ! Eti si kutoka kwa manii haahaa Mkuu huo ni uongo wa kiwango cha juu na nakushauri ukasome vizuri ukaelewe usilopoke unajitia aibu kwa taarifa yako kama unajichezea uume mpaka ukatokwa manii fahamu tayari utakua na janaba na hakuna haja ya kunisha bisha waweza Google vitabu vya dini ili uongeze maalifa zaidi usijidanganyeRudi darasani kasome dini yako vema mkuu.
Acha kupotosha jamii maana hii ni dhima mbele ya Allah kesho Akhera.
JANABA si kutoka kwa manii. Janaba ni kitendo cha uume kuingia kwenye uke. Ata kama manii hayakutoka hiyo inabaki kuwa janaba.
Again rudi darasani mkuu!
Nitamjuaje Muumba wa kweli aliyeniumba?Kwa sababu kuwa Muislam maana yake ni kujisalimisha kwa Muumba aliyekuumba na wala si kujisalimisha kwa mtu aliyezaliwa. Hakuna kufaulu zaidi ya huko.
aise hawa vijana wanatakiwa kukupa heshima sanaNna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Tuanze na hili la Kwenye kichwa cha mada.Kiswahili chenyewe kina maneno mengi sana ya Kiarabu. Labda wewe unaona ni Kiarabu lakini ni Kiswahili, labda useme nnachanganya Kingereza na Kiswahili hapo ntakuelewa.
Nipe mfano wa wapi nimechanganya Kiswahili na Kiarabu?
Sawa, mm ntarudi darasani kusoma ili nipate elimu zaidi.Mimi na wewe nani anastahili akasome vizuri ! Eti si kutoka kwa manii haahaa Mkuu huo ni uongo wa kiwango cha juu na nakushauri ukasome vizuri ukaelewe usilopoke unajitia aibu kwa taarifa yako kama unajichezea uume mpaka ukatokwa manii fahamu tayari utakua na janaba na hakuna haja ya kunisha bisha waweza Google vitabu vya dini ili uongeze maalifa zaidi usijidanganye
Mbona hujibu maswali yote? Usinge sema tukuulize maswali basi
Usipende League Mkuu kama wewe si mzinzi basi unakaa unatulia na kutafakari niliyokuelekeza, soma zaidi dini ukiielewa haitakupa shida ya kubisha bishaSawa, mm ntarudi darasani kusoma ili nipate elimu zaidi.
Sasa nipe ushahidi wa uzinzi wangu, maana umeniambia mm ni mzinzi!
lolest sawa mamaInabidi, lakini umeshasema vijana, mara nyingi ukiwa kijana unakuwa mtukutu, twende nao hivyo hivyo huku tunawapa darsa. Wakikuwa wataacha.
Tuanze na hili la Kwenye kichwa cha mada.
Neno darsa? Ni darasa hata kama ni la kiarabu likiletwa katika kiswahili lazima lifuate taratibu za lugha ya kiswahili.
Umeniambia niache uzinifu.Usipende League Mkuu kama wewe si mzinzi basi unakaa unatulia na kutafakari niliyokuelekeza, soma zaidi dini ukiielewa haitakupa shida ya kubisha bisha