Je, nchi gani zingine zina huu utamaduni wa utani, hususan katika Africa kama tufanyavyo sisi.
Asante!
Pilipili bogaNataka kufahamu pilipili hoho kwa nzazibar inaitwaje????
Wa alaykum salaam. Mtume alikuwa akiwasomea dua mbalimbali wajukuu jilazimishe na.hizi mbiliAsalam alaykm.
Naomba jibu: Bismillah ladhy layadhur maasmih shain fil ardh wala fissamai wahuwa'ssamiun 'alim.
Nikitaka kumsomea mtoto dua hii naigeuzaje hapo kwenye ladhy ili iwe kwa ajili yake?
Shukraan
Asalam alaykm.
Naomba jibu: Bismillah ladhy layadhur maasmih shain fil ardh wala fissamai wahuwa'ssamiun 'alim.
Nikitaka kumsomea mtoto dua hii naigeuzaje hapo kwenye ladhy ili iwe kwa ajili yake?
Shukraan
Ama hiyo ladhiy hapo haohusiani na mtoto ladhiy maanake ni ambayeAsalam alaykm.
Naomba jibu: Bismillah ladhy layadhur maasmih shain fil ardh wala fissamai wahuwa'ssamiun 'alim.
Nikitaka kumsomea mtoto dua hii naigeuzaje hapo kwenye ladhy ili iwe kwa ajili yake?
Shukraan
Ndio mimi husoma hivyo na kuwapulizia. Sina uhakika kama nafanya sahihi. Nashkuru akhy.Wa alaykum salaam. Mtume alikuwa akiwasomea dua mbalimbali wajukuu jilazimishe na.hizi mbili
- ((بسم الله الذي لا يضر مع اسمه شيء في الأرض ولا في السماء، وهو السميع العليم)) (ثلاث مرات)؛ أخرجه أبو داود وابن ماجه في سننهما.
- ((بسم الله أرقيك، من كل شيء يؤذيك، من شر كل نفس أو عين حاسد، الله يشفيك، بسم الله أرقيك))؛ أخرجه مسلم في صحيحه.
[emoji120]Ama hiyo ladhiy hapo haohusiani na mtoto ladhiy maanake ni ambaye
Hebu nijaribu kuleta maana kwa Kiswahili, inasemaje?Asalam alaykm.
Naomba jibu: Bismillah ladhy layadhur maasmih shain fil ardh wala fissamai wahuwa'ssamiun 'alim.
Nikitaka kumsomea mtoto dua hii naigeuzaje hapo kwenye ladhy ili iwe kwa ajili yake?
Shukraan
Ni sahihi, tena sana.Ndio mimi husoma hivyo na kuwapulizia. Sina uhakika kama nafanya sahihi. Nashkuru akhy.
Jazakallahu lkhayr
( إِنَّ اللَّهَ اشْتَرَىٰ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ أَنفُسَهُمْ وَأَمْوَالَهُم بِأَنَّ لَهُمُ الْجَنَّةَ ۚ يُقَاتِلُونَ فِي سَبِيلِ اللَّهِ فَيَقْتُلُونَ وَيُقْتَلُونَ ۖ وَعْدًا عَلَيْهِ حَقًّا فِي التَّوْرَاةِ وَالْإِنجِيلِ وَالْقُرْآنِ ۚ وَمَنْ أَوْفَىٰ بِعَهْدِهِ مِنَ اللَّهِ ۚ فَاسْتَبْشِرُوا بِبَيْعِكُمُ الَّذِي بَايَعْتُم بِهِ ۚ وَذَٰلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ )Si kweli.
Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.
Uislam unafundisha:
Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.
33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Asalam alaykm.
Naomba jibu: Bismillah ladhy layadhur maasmih shain fil ardh wala fissamai wahuwa'ssamiun 'alim.
Nikitaka kumsomea mtoto dua hii naigeuzaje hapo kwenye ladhy ili iwe kwa ajili yake?
Shukraan
Ni full ugaidi. Kwa nn?( إِنَّ اللَّهَ اشْتَرَىٰ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ أَنفُسَهُمْ وَأَمْوَالَهُم بِأَنَّ لَهُمُ الْجَنَّةَ ۚ يُقَاتِلُونَ فِي سَبِيلِ اللَّهِ فَيَقْتُلُونَ وَيُقْتَلُونَ ۖ وَعْدًا عَلَيْهِ حَقًّا فِي التَّوْرَاةِ وَالْإِنجِيلِ وَالْقُرْآنِ ۚ وَمَنْ أَوْفَىٰ بِعَهْدِهِ مِنَ اللَّهِ ۚ فَاسْتَبْشِرُوا بِبَيْعِكُمُ الَّذِي بَايَعْتُم بِهِ ۚ وَذَٰلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ )
التوبة (111) At-Tawba
Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu - wanauwa na wanauwawa.
Kwa mjibu wa aya hii je uislamu ni ugaidi?
Astaghfirullah, Astaghfirullah, Astaghfirullah.Sahihi bhukari juzuu ya kwanza uk no 224 .......fafanuzi ya Quran suratul baqar 2:223 wake zenu konde zenu ziingilien mpemdavyo..... Kitabu kinasema wameruhusiwa kuingiliwa nyuma na mbele.
Tatizo lugha ya kiswahili haielewi. Neno 'konde' likimaanisha shamba. Na shamba ni pale ukiweka mbegu zitamea. Sasa huko anapopazungumzia ukiweka mbegu zinamea?Astaghfirullah, Astaghfirullah, Astaghfirullah.
Wewe jamaa acha kupotosha.
Nimeamua kupunguza kipengele cha pumba zako ili niparekebishe hapa kwanza, sababu naona mnataka kuupotosha Umma, kitu ambacho si cha kweli.
Kwa ufahamu wako, waingilieni mpendavyo, ndio wameruhusiwa kuingiliwa nyuma na mbele?
Hilo suluhisho umelitoa wapi?
Waingilieni mpendavyo inahusiana vipi na kuingiliwa nyuma na mbele?