Ni sababu zipi zilikufanya uachike kwenye ndoa yako ya kwanza na kupewa taraka tatu?Magufuli anaongoza vizuri sana mpaka sasa hivi.
Allah yupo na jina lake lipo kabla hata ya kuumbwa chochote.Bibi faidha shikamoo swali langu ninauliza kabla ya mtume muhammad s.a.w kuisimamisha dini ya kiislamu je jina la Allah ikiwa na maana Mungu muumba je liliibuka Baada ya Muhammad s.a.w au lilikuwepo kitambo.
Kea hiyo waislam wanaosema kuwa Askofu Pengo ndiye aliyemashinikiza Magu kumwondoa Dau NSSF na Tanzania ni waongo na Askofu Pengo ni swahiba mkubwa wa Dr dau au vipi??
MaashaAllahAlhamduliLlah, ndoa yangu ni moja tu kwa mume mmoja tu kwa zaidi ya miaka 35 hivi sasa.
Kama hujafikisha miaka 55 kwa sasa ina maana uliolewa ukiwa bado hujafikisha miaka 18, hivyo inaonesha ulipenda dushele angali ukiwa bado mdogo. Je, unaweza kujitetea juu ya suala hili? Kama jibu ni "NDIYO" jitetee tafadhari, kama jibu ni "HAPANA" fafanua kwa kina tafadhari.= talaka
AlhamduliLlah, ndoa yangu ni moja tu kwa mume mmoja tu kwa zaidi ya miaka 35 hivi sasa.
Unachouliza si kweli.
Kama hujafikisha miaka 55 kwa sasa ina maana uliolewa ukiwa bado hujafikisha miaka 18, hivyo inaonesha ulipenda dushele angali ukiwa bado mdogo. Je, unaweza kujitetea juu ya suala hili? Kama jibu ni "NDIYO" jitetee tafadhari, kama jibu ni "HAPANA" fafanua kwa kina tafadhari.
Ina maana uliolewa na miaka 14?. Kama jibu ni ndio ....je, ulikimbilia dushere au maisha yalikutandika?. Kama jibu ni hapana, fafanua kwa kina.= tafadhali
= tafadhali
Kuwa na heshima kidogo katika maswali yako na namna unavyojiwakilisha.
Heshima ni kitu cha bure.
Sheria za Tanzania umri wa kuolewa ilikuwa ni miaka 14 juzijuzi imefanywa kumi na tano. Sijuwi hivi karibuni kama wameongeza na kufika 18?
Miaka yangu hauna haja ya kukisia. Haikuhusu.
Mshikaji kama huna maswali piga kimya!!Ina maana uliolewa na miaka 14?. Kama jibu ni ndio ....je, ulikimbilia dushere au maisha yalikutandika?. Kama jibu ni hapana, fafanua kwa kina.
Ina maana uliolewa na miaka 14?. Kama jibu ni ndio ....je, ulikimbilia dushere au maisha yalikutandika?. Kama jibu ni hapana, fafanua kwa kina.
Hakuna.Unaweza kunitajia japo mambo mawili ambayo pamoja na uanachama wako kindakindaki wa CCM yamefanywa na uongozi au kusema na uongozi haukuyaafiki na ukalazimika kuyapigia debe japo hukuyapenda??