Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Asante kwa jibu lako kwa hiyo baada ya kupitia hiyo taarifa isiyo rasmi kwamba mama akiwahi kufika basi anazaliwa mwanamke na baba akiwahi kufika anazaliwa mwanaume

Ni kufika wapi huko unazungumzia ? Au kileleni ?
Kama ni kileleni asilimia Kubwa ya wanaume Dunia wanawahi kufika kabla ya wanawake ?

Kwa mtazamo huo basi wanawake wangekuwa kama kifaru hapa duniani kwa kutoweka kwao
Nakazia
 
Asante kwa jibu lako kwa hiyo baada ya kupitia hiyo taarifa isiyo rasmi kwamba mama akiwahi kufika basi anazaliwa mwanamke na baba akiwahi kufika anazaliwa mwanaume

Ni kufika wapi huko unazungumzia ? Au kileleni ?
Kama ni kileleni asilimia Kubwa ya wanaume Dunia wanawahi kufika kabla ya wanawake ?

Kwa mtazamo huo basi wanawake wangekuwa kama kifaru hapa duniani kwa kutoweka kwao

Ajuwae hakawii, ukimuona kakawia ujuwe hajuwi.
 
Back
Top Bottom