Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Unalichukuliaje suala la Mtume Mohammed kuoa binti wa miaka 6??? Nyie waislamu mnaona sawa hii?? Maana sijaona muislamu anayeoa binti wa miaka 6 Leo hii.

NOTE Mimi siamini katika dini so usinijibu kwa reference za dini nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ningeomba unipe ushahidi wa wapi umesoma kuwa Mtume Muhammad sallah Allahu alayhi wa salaam ameoa "bint wa miaka 6". Kisha tuendelee.

Pia ningependa unipe source za Kiislam kwa kuwa unamuongelea Mtume anaefatwa na Waislam wote duniani.

Unaweza kuwa umeota tu au umesoma sources zisizo za Kiislam. Maana binafsi sijawahi kusoma popote kwenye sources za Kiislam kuwa Mtume Muhammad salla Allahu alayhi wasalaam alioa bint wa miaka 6 isipokuwa nayasoma hayo kutoka kwa wasio Waislam kama wewe.
 
Unalichukuliaje suala la Mtume Mohammed kuoa binti wa miaka 6??? Nyie waislamu mnaona sawa hii?? Maana sijaona muislamu anayeoa binti wa miaka 6 Leo hii.

NOTE Mimi siamini katika dini so usinijibu kwa reference za dini nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba rudi kwenye post namba 2394 kabla hatujaendelea.
 
Kwanza ningeomba unipe ushahidi wa wapi umesoma kuwa Mtume Muhammad sallah Allahu alayhi wa salaam ameoa "bint wa miaka 6". Kisha tuendelee.

Pia ningependa unipe source za Kiislam kwa kuwa unamuongelea Mtume anaefatwa na Waislam wote duniani.

Unaweza kuwa umeota tu au umesoma sources zisizo za Kiislam. Maana binafsi sijawahi kusoma popote kwenye sources za Kiislam kuwa Mtume Muhammad salla Allahu alayhi wasalaam alioa bint wa miaka 6 isipokuwa nayasoma hayo kutoka kwa wasio Waislam kama wewe.
‘Aaishah ( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ ) aliolewa na Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) kabla ya kuhama Makkah kwenda Madiynah katika mwezi wa Shawwaal baada ya kufa Bibi Khadiyjah (( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ nae alikua na umri wa miaka (6) sita, na akaingia dukhuli katika mji wa Madiynah akiwa na umri wa miaka (9) tisa akiwa bikra, na wala Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) hakuoa mke bikra isipokua yeye.
'Aaishah (( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ amesimulia kwamba Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) alimuoa nae akiwa na umri wa miaka sita (6) na kuitimiza ndoa yake kwa kitendo cha ndoa (dukhuli) akiwa na umri wa miaka tisa, (9) na baadae alibaki nae kwa miaka tisa. [Swahiyh Al-Bukhaariy].

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
 
‘Aaishah ( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ ) aliolewa na Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) kabla ya kuhama Makkah kwenda Madiynah katika mwezi wa Shawwaal baada ya kufa Bibi Khadiyjah (( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ nae alikua na umri wa miaka (6) sita, na akaingia dukhuli katika mji wa Madiynah akiwa na umri wa miaka (9) tisa akiwa bikra, na wala Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) hakuoa mke bikra isipokua yeye.
'Aaishah (( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ amesimulia kwamba Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) alimuoa nae akiwa na umri wa miaka sita (6) na kuitimiza ndoa yake kwa kitendo cha ndoa (dukhuli) akiwa na umri wa miaka tisa, (9) na baadae alibaki nae kwa miaka tisa. [Swahiyh Al-Bukhaariy].

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
Naomba reference au link nikaisome hiyo mimi mwenyewe.

Nijuavyo ndoa ya Kiislam haikamiliki mpaka kuwe na kuingiliana, tendo la ndoa.

Kwa sababu mimi nimesoma mtafiti wa Kiislam aliyebobea na historia ya Uislam aki "refute" hadith hizo na kuweka ushahidi wa kuwa mama yetu Bibi Aisha kaolewa akiwa na miaka 18 na source ni hii hapa: A Hadith Scholar Presents New Evidence that Aisha was Near 18 the Day of Her Marriage to the Prophet Muhammad | Hawramani.com
 
Naaam tena QURANI INAHITAJIA ZAIDI HADITHI KATIKA KUIELEWA.

mfano Qurani imesema mwizi akatwe mkono,na mkono ni kuanzia bega mpaka kidole,lakini hadithi ndo zikafafanua kwamba mkono unaokusudiwa ni kile kiganja tu na sio kono zima,sasa wanachuoni wanayalinda maneno ya mtume kutokana na kuingiwa na watu.

Mtu kukataa mpja kwa moja hadithi snaingia katika makosa na anamkana mtume wake kwa sababu zile hadithi ndo hikma zenyewe.manabii walipewa kitabu na hikma kwa maana himma ni yale mafunfisho ya manabii baada ya vitabu.

كما أرسلنا فيكم رسولا منكم يتلو عليكم آياتنا ويزكيكم ويعلمكم الكتاب والحكمة ويعلمكم ما لم تكونوا تعلمون

[ AL - BAQARA - 151 ]
Kama tulivyo mtuma Mtume kwenu anaye tokana na nyinyi, anakusomeeni Aya zetu na kukutakaseni na kukufundisheni Kitabu na hikima na kukufundisheni mliyo kuwa hamyajui.

Aya inasema anafundisha kitabu(Qurani) na hikma,Allah hakusema KWA HIKMA,kwa sababu ingetafsirika labda kwa kutumia hikma,lakinj kasema anawafundisha kitabu na HIKMA,hikma ni maneno na mafundisho ya mtume.

Na mafundisho ya mtume hayajasimuliwa kwenye Qurani kama hadithi zilivyo
Nimesoma kwenye Hadith,nijuavyo Mimi hadithi za mtume Ni chanzo Cha kuaminika Cha habari za uislamu

Sent using Jamii Forums mobile app

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
 
Naomba reference au link nikaisome hiyo mimi mwenyewe.

Nijuavyo ndoa ya Kiislam haikamiliki mpaka kuwe na kuingiliana, tendo la ndoa.

Kwa sababu mimi nimesoma mtafiti wa Kiislam aliyebobea na historia ya Uislam aki "refute" hadith hizo na kuweka ushahidi wa kuwa mama yetu Bibi Aisha kaolewa akiwa na miaka 18 na source ni hii hapa: A Hadith Scholar Presents New Evidence that Aisha was Near 18 the Day of Her Marriage to the Prophet Muhammad | Hawramani.com

Tatizo ni kuwa unataka ufanyee kama hakuna vitabu vya kiislamu vikubwa ambavyo vimekiri juu ya kuolewa bi Aisha akiwa na miaka 9,unataka kuwaaminisha jamaa kwamba labda ni vitabu vya wasiokuwa waislamu ndo wanasema hayo,hapo tu pana mushkila kwa kuwa wanazuoni wakubwa wakubwa wamelikubali jambo hilo.

Ila hap sasa Umesoma wapi kwamba ndoa haikamiliki mpaka kuwe na kuingiliana kwanza,kwa dalili ipi khaswaaaa?

Tuanzie hapo kwanza.

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
 
‘Aaishah ( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ ) aliolewa na Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) kabla ya kuhama Makkah kwenda Madiynah katika mwezi wa Shawwaal baada ya kufa Bibi Khadiyjah (( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ nae alikua na umri wa miaka (6) sita, na akaingia dukhuli katika mji wa Madiynah akiwa na umri wa miaka (9) tisa akiwa bikra, na wala Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) hakuoa mke bikra isipokua yeye.
'Aaishah (( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻬﺎ amesimulia kwamba Mtume ( ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺁﻟﻪ ﻭﺳﻠﻢ ) alimuoa nae akiwa na umri wa miaka sita (6) na kuitimiza ndoa yake kwa kitendo cha ndoa (dukhuli) akiwa na umri wa miaka tisa, (9) na baadae alibaki nae kwa miaka tisa. [Swahiyh Al-Bukhaariy].

ukiacha kuchagua jua umechagua kuacha
Naomba reference au link nikaisome hiyo mimi mwenyewe.

Nijuavyo ndoa ya Kiislam haikamiliki mpaka kuwe na kuingiliana, tendo la ndoa.

Kwa sababu mimi nimesoma mtafiti wa Kiislam aliyebobea na historia ya Uislam akila refute hadith hizo na kuweka ushahidi wa kuwa Aisha kuolewa akiwa na miaka 18 na source ni hii hapa: A Hadith Scholar Presents New Evidence that Aisha was Near 18 the Day of Her Marriage to the Prophet Muhammad | Hawramani.com
 
Back
Top Bottom