Faili limepotea mahakamani na shauri haliwezi kuendelea, tunafanyaje?

Faili limepotea mahakamani na shauri haliwezi kuendelea, tunafanyaje?

wakuu hivi kisheria imekaaje tupo mahakaman hapa wanandugu ila sasa cha ajabu faili wanasema limepotea halionekan so ina mana shauri limekwama.je tufanyeje au lawyer yupi mzur kwa hapa mitunduruni
Halijapotea lipo, makarani wanataka kuwatoa upepo au upande wa pili wamechezesha na makarani ili ku buy time!!
 
Halijapotea lipo,makarani wanataka kuwatoa upepo,au upande wa pili wamechezesha na makarani ili ku buy time!!
Ndugu, naamini uchawi upo kwa vile mahakama ndio mambo. Faili limechkuliwa na karani kasahau alipoliweka. Je huwez kufanya kitu kisheria maana wanasema shauri haliwez kwenda fail halionekan.
 
Halijapotea lipo,makarani wanataka kuwatoa upepo,au upande wa pili wamechezesha na makarani ili ku buy time!!
Hivi mkuu faili likipotea nani awajibike na kwanini mimi niteseke kwa sababu ya wafanyakazi wa mahakama kupoteza faili langu. Hivi unaiweza kuishitaki mahakama pia?
 
Hivi mkuu faili likipotea nani awajibike na kwanini mimi niteseke kwa sababu ya wafanyakazi wa mahakama kupoteza faili langu. Hivi unaiweza kuishitaki mahakama pia?
Dawa yao ndogo hao wewe muandikie Msajili barua ya Malalamiko kuhusu upotevu wa file lako, dakika 2 litapatikana, jalada la Serekali haliwezi kupotea bila official statement!!
 
Dawa yao ndogo hao wewe muandikie Msajili barua ya Malalamiko kuhusu upotevu wa file lako, dakika 2 litapatikana, jalada la Serekali haliwezi kupotea bila official statement!!
Msajili yupi? Kuna wasajili wengi, msajili wa mahakama, msajili wa mabaraza ya ardhi, msajili wa mahakama ya rufani?
 
msajili yupi? kuna wasajili wengi.msajili wa mahakama .msajili wa mabaraza ya ardhi, msajili wa mahakama ya rufani ?
Amwandikie Naibu Msajili wa Mahakama kuu maana lazima jalada litakuwa halionekani huko Mahakama za mwanzo, na ndiyo wenye michezo hiyo ya kuficha au kupoteza majalada, huo ujinga wa hupotevu wa majalada hauwezi hata siku moja kuukuta Mahakama ya Rufani!!
 
Wakuu hivi kisheria imekaaje tupo mahakamani hapa wanandugu ila sasa cha ajabu faili wanasema limepotea halionekan so ina maana shauri limekwama. Je tufanyeje au lawyer yupi mzuri kwa hapa mitunduruni
Limepotezwa halijapotea
 
Fail huwa halipotei, wamelipoozesha sehemu wanataka mjiongeze muwape hela.
 
Jaribu kuongea na ChoiceVariable au chiembe wakusaidie
Option ni mbili, kwanza kufungua supplementary file, pili, kusubiri litafutwe, it's possible mafaili kuwa misplaced, manual handling of files zina shida zake, mnaweza kuwa mnalipita hapo hapo, ila tu haliko sehemu sahihi, kwa hiyo mkashindwa kujua liko hapo.

Supplementary file linakuruhusu kuendelea na proceedings.

Take a scenario ambapo mahakama imeungua moto au imepata natural disaster and the records are destroyed, that does not mean your rights are destroyed too.
 
Ndugu, naamini uchawi upo kwa vile mahakama ndio mambo. Faili limechkuliwa na karani kasahau alipoliweka. Je huwez kufanya kitu kisheria maana wanasema shauri haliwez kwenda fail halionekan.
Uchawi upo, kuna kesi moja jalada zima liliwa na mchwa, mengine yakabaki salama, karani anatoa udongo wa mchwa kumbe ndio faili lenyewe, na mteja kakaa nje anasubiri faili lipatikane.

Pia kuna kesi ya Fortunatus Masha vs William Shija, ubunge wa sengerema, faili lipo, ila jaji akiingia mahakamani kusoma hukumu, anakuta halina maandishi, akirudi ofisini, anayakuta maandishi.

Too many scenarios
 
Uchawi upo, kuna kesi moja jalada zima liliwa na mchwa, mengine yakabaki salama, karani anatoa udongo wa mchwa kumbe ndio faili lenyewe, na mteja kakaa nje anasubiri faili lipatikane.

Pia kuna kesi ya Fortunatus Masha vs William Shija, ubunge wa sengerema, faili lipo, ila jaji akiingia mahakamani kusoma hukumu, anakuta halina maandishi, akirudi ofisini, anayakuta maandishi.

Too many scenarios
Iyo ya Fortunas mbona balaa
 
Back
Top Bottom