Faili limepotea mahakamani na shauri haliwezi kuendelea, tunafanyaje?

Faili limepotea mahakamani na shauri haliwezi kuendelea, tunafanyaje?

Option ni mbili, kwanza kufungua supplementary file, pili, kusubiri litafutwe, it's possible mafaili kuwa misplaced, manual handling of files zina shida zake, mnaweza kuwa mnalipita hapo hapo, ila tu haliko sehemu sahihi, kwa hiyo mkashindwa kujua liko hapo.

Supplementary file linakuruhusu kuendelea na proceedings.

Take a scenario ambapo mahakama imeungua moto au imepata natural disaster and the records are destroyed, that does not mean your rights are destroyed too.
anayeruhusiwa kufungua supplementary file ni wakili? au unaandika barua? sisi tumetoka mazikoni vizur tu baada ya kurudi shelui msimamiz wa mirathi mjomba wetu ndio katugeuka anatumia mwenyewe.ndio kuamua hebu twenden kwanza hajaifungq mirathi awe revocate. kufika limeonekana vizur tu, na karan alilamba 20 ya maziwa mana alisema store vumbi kweli. kesho yake linatafutwa jengo zima ghost aliyelibeba hajulikan. hivi mana ndio ilikua siku ya kumuita anko.
 
anayeruhusiwa kufungua supplementary file ni wakili? au unaandika barua? sisi tumetoka mazikoni vizur tu baada ya kurudi shelui msimamiz wa mirathi mjomba wetu ndio katugeuka anatumia mwenyewe.ndio kuamua hebu twenden kwanza hajaifungq mirathi awe revocate. kufika limeonekana vizur tu, na karan alilamba 20 ya maziwa mana alisema store vumbi kweli. kesho yake linatafutwa jengo zima ghost aliyelibeba hajulikan. hivi mana ndio ilikua siku ya kumuita anko.
Mahakama ndio inafungua hilo faili, mwambie hakimu, asipoelewa, muone in charge, asipoelewa nenda kwa in charge mahakama ya wilaya, asipoelewa nenda kwa in charge mkoa, asipoelewa nenda kwa msajili, asipoelewa nenda kwa Jaji in charge
 
Mahakama ndio inafungua hilo faili, mwambie hakimu, asipoelewa, muone in charge, asipoelewa nenda kwa in charge mahakama ya wilaya, asipoelewa nenda kwa in charge mkoa, asipoelewa nenda kwa msajili, asipoelewa nenda kwa Jaji in charg

Mahakama ndio inafungua hilo faili, 1qmwambie hakimu, asipoelewa, muone in charge, asipoelewa nenda kwa in charge mahakama ya wilaya, asipoelewa nenda kwa in charge mkoa, asipoelewa nenda kwa msajili, asipoelewa nenda kwa Jaji in charge

Mahakama ndio inafungua hilo faili, mwambie hakimu, asipoelewa, muone in charge, asipoelewa nenda kwa in charge mahakama ya wilaya, asipoelewa nenda kwa in charge mkoa, asipoelewa nenda kwa msajili, asipoelewa nenda kwa Jaji in charge
shaur ndio lipo kwa incharge huyo huyo. kwa hio hapa msomi inabidi barua ya kuomba afungue? yeye kasema nenden mtaitwa likipatikana siku yoyote.
 
shaur ndio lipo kwa incharge huyo huyo. kwa hio hapa msomi inabidi barua ya kuomba afungue? yeye kasema nenden mtaitwa likipatikana siku yoyote.
Mwambie incharge aache ujinga,akupeni fix date ya kuja kufanya follow up, inamaana lisipopatikana ndiyo hamta itwa!!??
 
Wakuu hivi kisheria imekaaje tupo mahakamani hapa wanandugu ila sasa cha ajabu faili wanasema limepotea halionekan so ina maana shauri limekwama. Je tufanyeje au lawyer yupi mzuri kwa hapa mitunduruni
Kuna uzi wa shuhuda za uchawi mahakamani ucheki😀😀
 
tulichoamua.kwa vile hata leo nimeona wazir wa ardh anaendesha kikao na kukemea tabia ya kuficha mafaili.
na sisi tunamuachia mungu. Huu mpira unarejea kwa mola hatuend tena na kesi hii tunamuachia mungu.yeye ndie atahukum baina wa bainana.
wasalaam kwa wote waliotoa mawazo yao.
 
Mwambie incharge aache ujinga,akupeni fix date ya kuja kufanya follow up, inamaana lisipopatikana ndiyo hamta itwa!!??
brother. Tumeamua na mim namuachia mungu atahukumia. sitakanyaga tena primary cort wala district. walioitafuta mali wapo ardhin wapo wanapambania amali zao kwa mola. kama makaran wamelificha kama limeliwa na mzimu kama limekua misplaced yote kwa yote tunamuchia mola.kwa sasa tunakata rufaa mbinguni na si hapa ardhin. lets see karma goes
 
brother. Tumeamua na mim namuachia mungu atahukumia. sitakanyaga tena primary cort wala district. walioitafuta mali wapo ardhin wapo wanapambania amali zao kwa mola. kama makaran wamelificha kama limeliwa na mzimu kama limekua misplaced yote kwa yote tunamuchia mola.kwa sasa tunakata rufaa mbinguni na si hapa ardhin. lets see karma goes
Sasa sikiliza usimwachie Mungu wakati Mungu kakupa akili ya ku master mazingira yako, aandika barua kwa Naibu Msajili wa Mahakama kuu kuhusu kupotea kwa file lako huku ukielezea majibu na kadhia zote ulizo pata huko Mahakama za chini,Msajili nae atakujibu kwa barua,baada ya hayo majibu ya Msajili kwako ndiyo yatakupa mueongozo mzima kwenye haki yako! Mtafute Mwanasheria aku draftie kama vile wwe ndiyo umeandika unampoza kidogo mambo yanakwenda! Usiogope vyombo vya sheria, maana mwenye haki ndiyo ana shinda na wala si pesa au umaarufu!!
 
Wasiliana na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mahakama (Judicial Service Council)
 
Kwamba hiyo mahakama Haina file movement order!?? Litajulikana tu mwisho lilikuwa Kwa nani ndio wa kumbana kende
 
Kuna kipind wakat nafanya field mahakaman fail lilipotea, ikabid makarani na wanafunzi tukaguliwe mabeg.

Ulipigwa msako wa maana na fail halikuonekana. Haya mambo huwa yanatokea sana sijui huwa inakuwaje had fail linapotea.
 
Back
Top Bottom