game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Pata anti pain kidogo, unalalamika sana bro. Dizaini ya mwanamke aliyezalishwa akaachwa.We unachokifanya ni uchochezi!! Mbona lakini huu uchochezi? Ahh! Wabongo mi siwaelewi kabisa!! Daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pata anti pain kidogo, unalalamika sana bro. Dizaini ya mwanamke aliyezalishwa akaachwa.We unachokifanya ni uchochezi!! Mbona lakini huu uchochezi? Ahh! Wabongo mi siwaelewi kabisa!! Daah
Pata anti pain kidogo, unalalamika sana bro. Dizaini ya mwanamke aliyezalishwa akaachwa.
ni wewe peke yako ndiye unatapatapa kwenye huu Uzi, u don't have anything here. sijaona mkenya mwingine zaidi yako,Mimi nimekuuliza shida yako ni nini?
Unahangaishwa na vijimambo vidogovidogo!!
Yakija mambo muhimu huna lolote
Huwezi ongea hivyo kwa Amina, Kama we humjui usidhani watu wengine hawamjui! Amefaanya Kazi hadi GenevaEdward Wanjala
You can't compare amina with the guy. Your lady is not the international figure. She is known only in Kenya. No one is aware of her existance.
Unaweza kufanya kazi Geneva ukiwa kama mfagizi..Huwezi ongea hivyo kwa Amina, Kama we humjui usidhani watu wengine hawamjui! Amefaanya Kazi hadi Geneva
Kafanya kazi gani huko geneva? Pia leta CV yake tuweze compare na ya huyu aliyeshinda. Acheni kutuzingua vijana. Hiyo issue ya Amina ilikuwa projecta maalum ya Uhuru kwaajili yake.Huwezi ongea hivyo kwa Amina, Kama we humjui usidhani watu wengine hawamjui! Amefaanya Kazi hadi Geneva
HahahaUnaweza kufanya kazi Geneva ukiwa kama mfagizi..
Ni kweli Tanzania hatupo anglophone wala francophone, sisi ni non -alignment movement(hatufungamani Na upande wowote).Hata Kenya hatuna ubaguzi!! Wao na watu kama nyinyi ndio mnaleta haya mambo, we ulisikia eti Francophone hawawezi votia Anglophone? Kwanza Tanzania hamko kwa hizi group, sa sijui unalalamika nini?
Wewe unaweza sikia aje rafiki yako unayemwamini akikutoroka wakati umekabwa???
Hiyo huitwa usaliti
Very interesting!!Rwanda, Burundi and Uganda have issued a joint statement explaining why they did not vote for Amina in the final round.
They heard Mwangi Kiunjuri repeatedly make the statement "I AM CHAD" and thought Kenya had withdrawn to back Chad candidate.
We learned later Kiunjuri meant to say "I AM SAD"
On behalf of East African Community, Museveni has apologized to Kenya and asked Uhuru to avoid sending delegates who speak their mother tongue during such important events!
Ni kweli Tanzania hatupo anglophone wala francophone, sisi ni non -alignment movement(hatufungamani Na upande wowote).
Which post was she holding in Geneva...... asije akawa alikuwa afisa ubarozi tu ndo ukaanza kuwalinganisha na "the winner" ambaye ni type ya kina Augustino Mahiga.Huwezi ongea hivyo kwa Amina, Kama we humjui usidhani watu wengine hawamjui! Amefaanya Kazi hadi Geneva
Acha ujingaWewe tajiri!!?
Kabisa ina walafi wasioshibaNyerere J. k aliwaisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana. Mkianza sisi Watanganyika wao Wazanzibar, haitaishia hapo ipo siku itakuwa sisi waunguja wao wapemba, sisi wanyamwezi wao Wazaramo
Ndicho kinatokea Kenya, Ukabila na Usisi unawatafuna. Sasa baaada ya ukabila kuitafuna Kenya, wanataka sasa tujiite sisi wa Afrika Mashariki, wao Wamagharibi ya Afrika.
Nchi hii ni ya Watu wabinafsi na walafi
Watanzania wanafik tu kama wewe, mna maudhi kweliAmina haweZi shinda kamwe loser !!!!!