Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni kwa zidane...Madrid bila kocha inaweza kubeba UEFA back to back
Hii timu Ina world class player kwenye kila angle
Wanatandaza kabumbu ipasavyo
Walikwepo Luis Figo, Beckham, Kaka, Zidane na wengine kibao. Hawakulamba UEFA. Au walikuwa Kimbiji Class Players hao?Madrid bila kocha inaweza kubeba UEFA back to back
Hii timu Ina world class player kwenye kila angle
Wanatandaza kabumbu ipasavyo
Wabongo mnalishana sana matango pori. Hii ni official site ya Everton, angalia ni wapi alitaka kuwashusha daraja. Angalia tangu aondoke ni kocha gani amefikia rekodi zake za ushindi.Muujiza unatokana na aina ya wachezaji alio nao, it's all about class of players. Mbona Everton hajafanya kitu na ilibakia nusu waporomoke kabisa.
Wasenge wanaupenda mpira,,wana timu work safii,,wanapenda Kushinda piaMadrid bila kocha inaweza kubeba UEFA back to back
Hii timu Ina world class player kwenye kila angle
Wanatandaza kabumbu ipasavyo
Hio madrid ilikosa kiungo mkabaji. Unauza makelele una nunua BECKAM.Walikwepo Luis Figo, Beckham, Kaka, Zidane na wengine kibao. Hawakulamba UEFA. Au walikuwa Kimbiji Class Players hao?
Babu NGULI
Alimjibu kocha wa Dortmund kua " wachezaji ukiwapigia kelele ndio hawakusikii kabisa" hio code matata sana.Huyu mzee ni Masterclass...
Uzuri hapaniki...mtulivu mno anajua anacho kifanya
Jose Mourinho leo kasema huyu jamaa sio kocha wa mitandaoni
Ngoja nimuoneshe kocha wetu Arteta nae ana mayowe sana.Alimjibu kocha wa Dortmund kua " wachezaji ukiwapigia kelele ndio hawakusikii kabisa" hio code matata sana.
[emoji23]
Msimu ujao.Madrid bila kocha inaweza kubeba UEFA back to back
Hii timu Ina world class player kwenye kila angle
Wanatandaza kabumbu ipasavyo
Mi nawaangaliaga tu watoto wadogo hawajuwi mpira, mashabiki wa mancity wengi watoto wadogo kazi yao kubweka tuTulioanzana huyu dingi tangu akiwa kocha wa AC MILAN tuna muheshimu na tunamwogopa kama EBOLA. Ila kama wewe ni mtoto wa mwaka 2000 emu tulieni ivo ivo makocha wenu ni akina GURDIOLA tuuu
Madrid imekuwa na world class tangu miaka ya nyuma, mwaka 2002 ilibeba uefa, tangu hapo real haikubeba mpaka 2014 Carlo anceloti alipokuja, tangu 2018-2021 real Madrid haikuwa poa na walishafukuza makocha watatu(lopetegui, solari na Zidane), usimchukulie poa don Carlo, mi nikiangilia hii real ina wachezaji WA kawaida wengiMadrid bila kocha inaweza kubeba UEFA back to back
Hii timu Ina world class player kwenye kila angle
Wanatandaza kabumbu ipasavyo
😂😂Code ngumu sanaAlimjibu kocha wa Dortmund kua " wachezaji ukiwapigia kelele ndio hawakusikii kabisa" hio code matata sana.
[emoji23]
Tena hii ndio real ambayo haikupaswa kutoka na hili kombe maana wachezaji ni wa kawaida sana sema msimu ujao itakuwa moto zaidiMadrid imekuwa na world class tangu miaka ya nyuma, mwaka 2002 ilibeba uefa, tangu hapo real haikubeba mpaka 2014 Carlo anceloti alipokuja, tangu 2018-2021 real Madrid haikuwa poa na walishafukuza makocha watatu(lopetegui, solari na Zidane), usimchukulie poa don Carlo, mi nikiangilia hii real ina wachezaji WA kawaida wengi