Fainali ASFC, Mtibwa Sugar Vs Singida United, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Fainali ASFC, Mtibwa Sugar Vs Singida United, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Issa Rashid anapewa kadi nyekundu upande wa Mtibwa Sugar
 
84' Mpira matokeo bado 2-2 fainali kombe la Shirikisho
 
Goooooooal ..Ismail anaipatia Mtibwa Sugar

Mtibwa Sugar 3-2 Singida United
 
Naam Mpira umekwisha aaaa. Mtibwa Sugar ni bingwa wa ASFC
 
Singida waungana na Yanga kukosa Michuano ya Kimataifa[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kocha wa Singida ameshika kiuno..Haamini kilichotokea kwenye hizi fainali
 
Back
Top Bottom