Fainali Mapinduzi Cup 2019: Azam FC 2 - 1 Simba SC

Kiukweli kwasasa huyu Adam Salamba inabidi aondolewe rasmi kwenye hii timu ya Mabingwa. Yupo yupo tu.

Sikuona umuhimu wa Kichuya nae kwenda kwamaana ni mchezaji ambaye uwezo wake umeshuka mno mno. Alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani.
Mwisho kabisa, Coulibally ame'improve' sana kwenye mechi ya leo.

Haruna Hakizimana Niyonzima huyu jamaa ni Maestro na amerudi kwenye uwezo wake tuliouzoea.

All in All hongereni sana Azam.
 
Timu ya Azamu imeifinga Simba SC 2 kwa 1 katifa fainali za mapinduzi cup huko Pemba

HONGERA AZAM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…