Fainali mbovu ya UCL kwa upande wako ni ipi?

Fainali mbovu ya UCL kwa upande wako ni ipi?

naona mmesahau ya 2010, inter ya mou vs bayern.......
mou alifanya upumbavu wa kupaki bus, worst final
 
Kwa wasio jua mpira watasema fainali mbovu. Hakuna fainali mbovu acheni ushabiki mandazi. Hapo kila fainali mlizotaja zilikuwa kali sema mnapenda mashibobo na besela mengi matobo na venga makanzu. Hakuna final ya UCL ilioboa labda kwa mashabiki mandazi.
 
Kwa wasio jua mpira watasema fainali mbovu. Hakuna fainali mbovu acheni ushabiki mandazi. Hapo kila fainali mlizotaja zilikuwa kali sema mnapenda mashibobo na besela mengi matobo na venga makanzu. Hakuna final ya UCL ilioboa labda kwa mashabiki mandazi.
🚮🚮🚮
 
Hamna fainali mbovu...hayo ni maoni ya watazamaji tu.
 
Back
Top Bottom