Fainali waliyocheza Simba SC 1993 siyo shirikisho

Fainali waliyocheza Simba SC 1993 siyo shirikisho

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.

Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
1. Kulikuwa na Champions Cup (Sawa na klabu bingwa leo hii) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Malindi kama Bingwa wa Ligi ya Muungano Fainali ilicheza ASANTE KOTOKO na ZAMALEK, ZAMALEK wakachukua kwa penalt

chanzo

2. Kulikuwa na Kombe la washindi barani afrika (Sawa na shirikisho hivi sasa) Tanzania iliwakilishwa na Pamba ya mwanza kama bingwa wa FA cup kipindi hicho liitwa Nyerere cup fainali walicheza African Sports na Al Ahly ambapo Al Ahly ya Misri walichukuwa kombe kwa goli 2-1

chanzo



3. Halafu sasa ndo kukawa na kijikombe kilichoitwa CAF CUP kilichotolewa na mwanasiasa Mashoud Abiola hiki sasa ndo Simba walicheza Fainali na Stella

chanzo


Kukuonesha tu kwamba kombe hili halina hadhi ya shirikisho baada ya mashindano kwisha Bingwa wa Champions Cup yaani Zamalek alicheza na Bingwa wa Kombe la washindi barani afrika kombe maalum lililoitwa Super Cup mwaka 1994 (Zamalek Vs Al Ahly)

chanzo
 
Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.

Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
1. Kulikuwa na Champions Cup (Sawa na klabu bingwa leo hii) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Malindi kama Bingwa wa Ligi ya Muungano Fainali ilicheza ASANTE KOTOKO na ZAMALEK, ZAMALEK wakachukua kwa penalt

chanzo

2. Kulikuwa na Kombe la washindi barani afrika (Sawa na shirikisho hivi sasa) Tanzania iliwakilishwa na Pamba ya mwanza kama bingwa wa FA cup kipindi hicho liitwa Nyerere cup fainali walicheza African Sports na Al Ahly ambapo Al Ahly ya Misri walichukuwa kombe kwa goli 2-1

chanzo


3. Halafu sasa ndo kukawa na kijikombe kilichoitwa CAF CUP kilichotolewa na mwanasiasa Mashoud Abiola hiki sasa ndo Simba walicheza Fainali na Stella

chanzo


Kukuonesha tu kwamba kombe hili halina hadhi ya shirikisho baada ya CAF mashindano kwisha Bingwa wa Champions Cup yaani Zamalek alicheza na Bingwa wa Kombe la washindi barani afrika kombe maalum lililoitwa Super Cup mwaka 1994 (Zamalek Vs Al Ahly)
Umenikumbusha Boli zozo.
 
Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.

Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
1. Kulikuwa na Champions Cup (Sawa na klabu bingwa leo hii) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Malindi kama Bingwa wa Ligi ya Muungano Fainali ilicheza ASANTE KOTOKO na ZAMALEK, ZAMALEK wakachukua kwa penalt

chanzo

2. Kulikuwa na Kombe la washindi barani afrika (Sawa na shirikisho hivi sasa) Tanzania iliwakilishwa na Pamba ya mwanza kama bingwa wa FA cup kipindi hicho liitwa Nyerere cup fainali walicheza African Sports na Al Ahly ambapo Al Ahly ya Misri walichukuwa kombe kwa goli 2-1

chanzo


3. Halafu sasa ndo kukawa na kijikombe kilichoitwa CAF CUP kilichotolewa na mwanasiasa Mashoud Abiola hiki sasa ndo Simba walicheza Fainali na Stella

chanzo


Kukuonesha tu kwamba kombe hili halina hadhi ya shirikisho baada ya CAF mashindano kwisha Bingwa wa Champions Cup yaani Zamalek alicheza na Bingwa wa Kombe la washindi barani afrika kombe maalum lililoitwa Super Cup mwaka 1994 (Zamalek Vs Al Ahly)
Kelele zote hizi kisa simba kufungwa mara mbili na sare moja.
Acheni ujinga hata all ahly misri kasare mara 4 na kugongwa moja lakini haipotezi maana kwamba ndiyo klabu bora afrika.
 
Alimgeuza rashid abdallah kama chapati. Jina akaja rithi james tungaraza.
Tungaraza alirithi jina kutokana na kuwa yeye nae ndie aliefunga goli la pili kwenye ushindi wa 2-0 kwenye mechi ya Yanga vs Simba kama ilivyokuwa kwa Bolizozo kwa timu yake ya ASEC MIMMOSA ya Ivory Coast.
 
Tungaraza alirithi jina kutokana na kuwa yeye nae ndie aliefunga goli la pili kwenye ushindi wa 2-0 kwenye mechi ya Yanga vs Simba kama ilivyokuwa kwa Bolizozo kwa timu yake ya ASEC MIMMOSA ya Ivory Coast.
Kumbe alikuwa ASEC mi nilijua STELLA ABIDJAN
 
Tungaraza alirithi jina kutokana na kuwa yeye nae ndie aliefunga goli la pili kwenye ushindi wa 2-0 kwenye mechi ya Yanga vs Simba kama ilivyokuwa kwa Bolizozo kwa timu yake ya ASEC MIMMOSA ya Ivory Coast.
Stella de abidjan sio memosas na umaarufu mwingine ni kwa kinywaji cha stella artois (Stella atoi )kilitamba sana waqt huo.
 
Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.

Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
1. Kulikuwa na Champions Cup (Sawa na klabu bingwa leo hii) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Malindi kama Bingwa wa Ligi ya Muungano Fainali ilicheza ASANTE KOTOKO na ZAMALEK, ZAMALEK wakachukua kwa penalt

chanzo

2. Kulikuwa na Kombe la washindi barani afrika (Sawa na shirikisho hivi sasa) Tanzania iliwakilishwa na Pamba ya mwanza kama bingwa wa FA cup kipindi hicho liitwa Nyerere cup fainali walicheza African Sports na Al Ahly ambapo Al Ahly ya Misri walichukuwa kombe kwa goli 2-1

chanzo


3. Halafu sasa ndo kukawa na kijikombe kilichoitwa CAF CUP kilichotolewa na mwanasiasa Mashoud Abiola hiki sasa ndo Simba walicheza Fainali na Stella

chanzo


Kukuonesha tu kwamba kombe hili halina hadhi ya shirikisho baada ya CAF mashindano kwisha Bingwa wa Champions Cup yaani Zamalek alicheza na Bingwa wa Kombe la washindi barani afrika kombe maalum lililoitwa Super Cup mwaka 1994 (Zamalek Vs Al Ahly)
Safi sana wanajisifia sana hawa.
 
Back
Top Bottom