Fainali ya ASFC | Yanga SC 3 (4) - 3 (1) Coastal Union | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Yanga BINGWA

Ndio madhara ya kujiamini kupita kiasi, yaani leo bahati ilikuwa yetu. Yaani hii mechi ilinifanya juice ya boksi ya Azam ionekane chungu.
 
Yaani ata magoli ya costal sijaelewa jinsi yalivyo fungwa fungwa, Mpira wa kiswahili ni mgumu sana. Yaani Yanga wanashambuliaaa Kwa nguvu zote lakini goli Ali ingii ila costal wakishambulia wanafunga ki ulaini.
Tunashukuru timu iliyo staili kushinda imeshinda.
 
Daah Nilishakata Tamaa Kabisa ....Kweli Is Not Over Until Is Over !!, Yanga Afrikaa [emoji471][emoji172][emoji169][emoji8][emoji8][emoji8][emoji91]
Hata mimi nilikubali matokeo tangu mchezo unaanza. Kilichowabeba Yanga ni ukomavu tu wa wachezaji wao!

Ila kiukweli mchezo wa leo haukuwa kabisa upande wao.
 
Club le Athletic Internationale dar es salaam Young Africans.
BINGWA
 
Halafu watapiga fataki.
Coastal deserve to be winners.
Yanga kinachowasaidia ni hamasa ya wachezaji ( kwa kulipwa vizuri) na pia mfadhili wao anatumia pesa sana kupata mafanikio.
Vinginevyo anayejua mpira hassa Yanga hamna timu pale. Wana pesa.
 
Halafu watapiga fataki.
Coastal deserve to be winners.
Yanga kinachowasaidia ni hamasa ya wachezaji ( kwa kulipwa vizuri) na pia mfadhili wao anatumia pesa sana kupata mafanikio.
Vinginevyo anayejua mpira hassa Yanga hamna timu pale. Wana pesa.
Mbona unaumia sana? Mpira upo simba.
 
Halafu watapiga fataki.
Coastal deserve to be winners.
Yanga kinachowasaidia ni hamasa ya wachezaji ( kwa kulipwa vizuri) na pia mfadhili wao anatumia pesa sana kupata mafanikio.
Vinginevyo anayejua mpira hassa Yanga hamna timu pale. Wana pesa.
Huwezi kutofautisha Mpira na Pesa Mzee wangu
 
Halafu watapiga fataki.
Coastal deserve to be winners.
Yanga kinachowasaidia ni hamasa ya wachezaji ( kwa kulipwa vizuri) na pia mfadhili wao anatumia pesa sana kupata mafanikio.
Vinginevyo anayejua mpira hassa Yanga hamna timu pale. Wana pesa.
Hamna timu kivipi Sheikh! Yanga ndiyo Mbingwa wa Ngao ya Jamii, Ligi kuu NBC, na sasa Shirikisho ASFC!

Halafu unasemaje hamna timu! Mpira umechezwa, na kila mtu ameona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…