Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
MAKOLO walikupuuza hapa [emoji28]Yaani yanga akianza kupiga penalty tuu...basi kombe lao
kheri dua imekubalikaInshallah yanga itashinda Leo kwa mikwaju ya penalty
AsanteYanga bingwa hongereni
Sa si bora kwa wagosi kidogo tumeonesha uzalendo kuliko nyinyi kwa wa nigerSifa za kijinga zimewaponza MAKOLOKOLO [emoji1787]
Moderators pigeni ban ya mwaka hili MAKOLO [emoji4]Dhambi na dhulma ya Geita Gold ya pale kwa Mkapa inalipwa leo Sheikh Amri Abeid
Wenzako wanapongeza kwa shingo upande! Acha kukaza fuvu. Toa pongezi basi.Kinyongee snaaaaaaa yani kwa mbindeeee
Hilo kombe lilitakiwa kuwa kwaa wagosi.Wenzako wanapongeza kwa shingo upande! Acha kukaza fuvu. Toa pongezi basi.
Vipi golikipa wa Coastal atakuwa amepewa bahasha, au!!Hilo kombe lilitakiwa kuwa kwaa wagosi.
Hamna lolote, ni aibu kubwa sana kwa MAKOLO kujiita timu kubwa afu linashangilia kiatu na timu nyingine ndogo ya Geita Gold [emoji23]Sa si bora kwa wagosi kidogo tumeonesha uzalendo kuliko nyinyi kwa wa niger
Hii huwa inatokea sana lakini ikiwa ni Kariakoo derby sio kila game ambayo Simba au Yanga wanacheza na timu yeyote.Wataalamu wa elimu ya Nyota wanasema Yanga ikicheza tarehe 2, 12, 22 ni ngumu kushinda na Simba akicheza tarehe 8,18, 28 ni ngumu kushinda.
Leo inaonekana uwezo na bahati vyote vilikua upande wa Yanga. Mungu ni mwema.
Hapo hamna cha bahasaha ni jujuVipi golikipa atakuwa amepewa bahasha, au!!
Yaani Yanga inaweza kuizidi Coastal ya Tanga kwa juju! Labda wangekuwa mabingwa wa juju Afrika, ningeamini.Hapo hamna cha bahasaha ni juju
tena leo COASTAL waliamua kufanya LIVELIVE bila chengaYaani Yanga inaweza kuizidi Coastal ya Tanga kwa juju! Labda wangekuwa mabingwa wa juju Afrika, ningeamini.
Sawa tuache na aibu yetu au nayo unaionea wivu?Hamna lolote, ni aibu kubwa sana kwa MAKOLO kujiita timu kubwa afu linashangilia kiatu na timu nyingine ndogo ya Geita Gold [emoji23]
Inini kwanza hiyo inayoonewa wivu? [emoji848][emoji847]Sawa tuache na aibu yetu au nayo unaionea wivu?