Mkuu umemuonaje Akpan?Ana mwili mzuri! Ila ana mapungufu mengi. Siku zote anafichiwa madhaifu yake na akina Bangala. Wakipotea hao, na yeye anapotea.
Anyway, Coastal wanastahili kuwa mabingwa. Wamecheza mchezo mzuri. Sema ndiyo hivyo tena, hiki kikosi kikiparanganyika, Kimataifa watakuwa ni wasindikizaji tu.
Baadaye kwenye interview utaskia "Mabeki wananikamia"Huyo jamaa upepo ulimuwakia tu, haya sasa na leo itakuwa kanyimwa ushirikiano au vipi?
Coastal wamechagua heshima mbele ya fedha.hawakufika kiwango kilichotakiwa
Timu ya bahasha.. kimataifa wataenda kutuaibisha.hawakufika kiwango kilichotakiwa
Kocha ameliona hiloKuna Upuuzi Pale Nyuma, Mwamnyeto Hayuko Serious na Watu Wake Nyuma
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dakika zote hizo ili tu yanga ashinde105' za kipindi hiki cha nyongeza ambapo Coastal Union wapo mbele kwa mabao matatu kwa mbili
Yanga SC 2-3 Coastal Union
Naam, mana hata wapewe pesa kias gani, haiwezi kufikia thamani ya kuchukua hilo kombe mbele ya Yanga..Coastal wamechagua heshima mbele ya fedha.
Kwa aina ya beki ya akina Mwamnyeto nitakubaliana na wewe.Timu ya bahasha.. kimataifa wataenda kutuaibisha.
🤣Wabaili hawa maboss zetu ona tunavoteseka
Dakika za nyongeza au kipindi cha nyongeza?Dakika zote hizo ili tu yanga ashinde