Wamalize mpira wanasubiria nini, mi ninq mambo mengi yakufanya hapa eboHakuna dakika za nyongeza kwenye dakika 30 za nyongeza
Leo amejitahidi kuonekana. Sema anatakiwa abadilike. Maana anakaba zaidi kuliko kushambulia.Mkuu umemuonaje Akpan?
Mimi siangalii mpira sijui kinachoendelea ila mpira ungeisha maana hiki kipindi cha baridi sio rafiki kwa wachezajiDakika za nyongeza au kipindi cha nyongeza?
Fanya comparisoj na mayele nipe rateLeo amejitahidi kuonekana. Sema anatakiwa abadilike. Maana anakaba zaidi kuliko kushambulia.
All in all, shujaa wa mchezo wa leo ni Sopu. Dogo ana kipaji kikubwa cha kucheza mpira.
Kumbe hujui unachokisema..!!Mimi siangalii mpira sijui kinachoendelea ila mpira ungeisha maana hiki kipindi cha baridi sio rafiki kwa wachezaji
Hakuna penalty hapaInshallah yanga itashinda Leo kwa mikwaju ya penalty
Nachojua sopu kaisha mwaga povu na ile vibator imeshindikana kutetemaKumbe hujui unachokisema..!!
Yaani huku ni Sopu na Kosto Yunioni yake tu wanatusumbua wananchi wote. Sijui Bos leo hajapeleka bahashaVp huko