Fainali ya ASFC | Yanga SC 3 (4) - 3 (1) Coastal Union | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Yanga BINGWA

Fainali ya ASFC | Yanga SC 3 (4) - 3 (1) Coastal Union | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid | Yanga BINGWA

Mchezaji gani mzee ambaue yuko Simba kamzidi unri ronaldo?
Erasto Nyoni 40+, Meddie Kagere 40+, John Bocco 40+,

Au ndiyo unadanganyika na ile miaka ya kwenye pasport?
 
Na ikitokea amefunga ata vibrate kinoma kulipizia kipindi chote alichoshindwa kufunga
Huyo jamaa upepo ulimuwakia tu, haya sasa na leo itakuwa kanyimwa ushirikiano au vipi?
 
Shida ni kwamba hatuthamini vya kwetu huyo Sopu ni mzuri ila kwakua ni mtanzania basi akienda kwenye team kubwa hizi za kariakoo hawezi kupata muda wa kuvumiliwa kwakua sio mchezaji wa kigeni, dogo wa kitanzania hawezi kudekezwa na kuwekewa matumaini kama jinsi ambavyo wanapewa madogo(wa umri wake) wa nje.

Nikitakiwa kumshauri Sopu, nitamwambia aende Azam kama wametuma ofa.

Huyo VICTOR AKPAN ni player wa maana tu, kama anaweza kuonekana kwenye team kama Coastal basi kwenye team nzuri atafanya vizuri tu, kama SIMBA Sc tumemsajili basi tutakuwa tumelamba dume.
Kiukweli huyo sopu kaja na antibiotic ya kufunga midomo watu waliokuwa wamekalili aina fulank ya mchezaji ndio ambaye anategemewa sana kuina akifunga.

Jamaa katia kamba mbili sio jambo dogo kumbuka kwenye hiyo hiyo mechi kuna yule mchezaji ambaye msimu mzima amepewa promo za kutosha

Sopu alichokifanya ni kwamba kupitia mechi hii moja ye anaenda kufanya maajabu ambayo yatamficha huyo gwiji wao.

Sopu I salute you
 
Tatizo la Mwamnyeto siku zote ni kuzubaa, kujisahau na pia kujiamini kupita kiasi.

Siyo beki ya kazi kazi kama ilivyokuwa kwa mabeki waandamizi wa Yanga, mfano Kelvin Yondani na Nadir Haroub Cannavaro.

Anyway, ngoja tuone itakuwaje. Ila mabeki wameonyesha udhaifu mkubwa kwenye goli la pili.
Sio mara ya kwanza kukuona ukimlalamikia Mwamnyento na point zako juu yake huwa ni za kweli, sema tu huwa unashindwa kunyoosha maelezo

Mwamnyeto sio beki wa kutegemea kwenye mechi zenye tension (avarage player), hii beki ukiingia nayo kimataifa hutoki na cleanshit. Usajili wa CB mwingine ni wa muhimu sana.
 
Hahahahahhaha maramamake na huyo ni huyu, ingekuwa jiki je?
 
Hahahahaha hatrick jambo ambalo kalala hajawahi fanya
 
Back
Top Bottom