Faini, Polisi au adhabu kali barabarani hazipunguzi ajali

Faini, Polisi au adhabu kali barabarani hazipunguzi ajali

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kuna hali ngumu ya maisha itokanayo na mfumuko mkubwa wa bei ambao serikali imechagua kujiweka pembeni kiaina:

IMG_20220407_154536_192.jpg


Kama vile haitoshi kuna usumbufu mkubwa barabarani. Zinatakiwa pesa, mengine kama kawaida yetu ni usumbufu tu.

Bahati mbaya ni kuwa ajali zinazotokea wala hazisababishwi na tunayoambiwa ni vyanzo wala zinazosemekana hatua, hazina tija yoyote.

Kwani kama polisi barabarani ndiyo wenye kuzuia ajali watakuwa kila mahali wakati wote?

Kama wao wanazuia ajali kweli si kheri wakawe madereva ili tuokoe maisha?

Nani asiyejua matumizi mabaya ya barabara na hatarishi ya magari ya serikali na taasisi za umma? Magari ya polisi yamo kwenye mkururo huu.

Kwani hata kuna adhabu zozote zinawahusu wababe hao wasiokuwa na haja ya ustaarabu wala kuwajibika?

Ajali barabarani zinaweza kutokomezwa kwa kuwapo kwa elimu ya ustaarabu barabarani kwa watu.

Mengine haya serikali na ijue inajichumia chuki tu, pasipokuwa na tija yoyote.
 
Kuna hali ngumu ya maisha itokanayo na mfumuko mkubwa wa bei ambao serikali imechagua kujiweka pembeni kiaina:

View attachment 2188661

Kama vile haitoshi kuna usumbufu mkubwa barabarani. Zinatakiwa pesa, mengine kama kawaida yetu ni usumbufu tu.

Bahati mbaya ni kuwa ajali zinazotokea wala hazisababishwi na tunayoambiwa ni vyanzo wala zinazosemekana hatua, hazina tija yoyote.

Kwani kama polisi barabarani ndiyo wenye kuzuia ajali watakuwa kila mahali wakati wote?

Kama wao wanazuia ajali kweli si kheri wakawe madereva ili tuokoe maisha?

Nani asiyejua matumizi mabaya ya barabara na hatarishi ya magari ya serikali na taasisi za umma? Magari ya polisi yamo kwenye mkururo huu.

Kwani hata kuna adhabu zozote zinawahusu wababe hao wasiokuwa na haja ya ustaarabu wala kuwajibika?

Ajali barabarani zinaweza kutokomezwa kwa kuwapo kwa elimu ya ustaarabu barabarani kwa watu.

Mengine haya serikali na ijue inajichumia chuki tu, pasipokuwa na tija yoyote.
Niliwaambia

Nimeacha leseni

Kwa gari nyingine

Wakasema lipa cash

Halafu utaleta leseni

Nilichekaa[emoji1787][emoji1787]

Wakaniruhusu niondoke
 
Niliwaambia

Nimeacha leseni

Kwa gari nyingine

Wakasema lipa cash

Halafu utaleta leseni

Nilichekaa[emoji1787][emoji1787]

Wakaniruhusu niondoke

Ianatakiwa pesa. Njiani ni shida!

Wamekuwa wakaguzi wa mabasi kama vile Wana ujuzi. Mpya za mwaka hadi wanagundua shida kwenye engine.

Kwenye katiba mpya hawa lazima kulala nao mbele.

Wanayafanya maisha kuwa magumu pasipo sababu.
 
Ianatakiwa pesa. Njiani ni shida!

Wamekuwa wakaguzi wa mabasi kama vile Wana ujuzi. Mpya za mwaka hadi wanagundua shida kwenye engine.

Kwenye katiba mpya hawa lazima kulala nao mbele.

Wanayafanya maisha kuwa magumu pasipo sababu.
Wangese sana

Kesho ninao

Hope kuanzia chuga

Kuendelea ila

Nitawafurahisha [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom