tatizo la wapenzi ndio hilo wanashindwa kuwasiliana vizuri na kuelezana hisia zao ili kulinda mapenzi yao mpk inapotokea mambo yameshaharibika mpk hatua kubwa. Kwa nini huyu dada asingesema haya pindi mambo yao yanaharibika ili aokoe penzi lake. Angefanya hivyo uenda mpk leo angekuwa na baba watoto wake. Kwa sasa anaeleza hisia zake wakati ameshachelewa. Nawashauri wapenzi vijana tafadhali mpigania mahusiano yenu na muache viburi na kejeli mambo yanapoharibika uvumilivu mdogo sana unahitajika ili kuweza kufikia malengo yenu na sio ugomvi na makelele mtu kama unampenda na unamhitaji pigania penzi lako hata kwa maombi ili umpate